Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,805
Dah! Apumzike kwa amani binti mrembo!
Usije ukapanda mashavR.i.p Rose
Ila bodaboda hizi mmhhh
Alafu ndio usafiri wangu mkubwa huwezi aminiUsije ukapanda mashav
Sitak kukupoteza plz
Haya maneno huwa najiambia kila wakat halaf nikitaitiwa na folen huyoooo boda kama kawa halaf nikishuka najiambia tena.Kuanzia Leo sipandi boda
Alafu ndio usafiri wangu mkubwa huwezi amini

Sasa picha ya rose na kupiga kura vina uhusiano gani?Hizi ndio akili tunazozitegemea kupigakura2020
Duh leo ni siku za huzuni tu...pole sn mkuu..dah!
Hata mimi namkumbuka rose wangu, sema wangu hajafa...bado anadunda kitaa ila ninayeteseka ni mimi 🙂🙂🙂
Hakuna kitu kama hicho..km alishindwa kujiombea mwenyew its done!
ww ufe..maana una tabia mbayaBado mm
Ni shidaa siwatakiHaya majina ya akina Rose,mshukuru Mungu tu kwa kumchukua Bro.
Lakini ulikuwa umeshamgegeda au bado
