BASI JITOSE TU, KAMA UNAO INAKUWA MUENDELEZO KAMA HUNA ............................................Wanaume wenye tunaogopa kupima sasa sijui hapa tutajijuaje kama tuko +ve...!
Amiina inshallahAllah akupe hitaji lako, ili ukamilishe nusu(ndoa ) ya dini yako.
Hiyo nusu nyingine utaitafuta kidogo kidogo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nashukuru sana... AmeenMungu ni mwema atakuskia ukimwamini yeye atakupa sawasawa na hitaji la moyo wako
Yeye anataka aliye na HIV + sio -Kuwa HIV+ siyo "hukumu ya kifo"... huna haja ya kujitudinka kwenye mitandao...
What if kazaliwa nao?? Why are you being that judgemental?? Kwamba ninyi ni wema sana? Kwamba mnaijua kesho yenu? What if ukawa muaminifu lakini mwenza wako akakuletea?
Ifikie pahala muache kutoa hukumu zenu za kipilato wakati ninyi wenyewe siyo wasafi.!!
Utapona kwa jina la Allah!
Kesho nenda kapime kisha rudisha majibu uwashangaze watu kwa uwezo mkuu wa Allah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Common sense is not common. Usijihangaishe sana maana life lina njia nyingi za kutufunza and better pray isiwe hard wayWhat if kazaliwa nao?? Why are you being that judgemental?? Kwamba ninyi ni wema sana? Kwamba mnaijua kesho yenu? What if ukawa muaminifu lakini mwenza wako akakuletea?
Ifikie pahala muache kutoa hukumu zenu za kipilato wakati ninyi wenyewe siyo wasafi.!!
What if kazaliwa nao?? Why are you being that judgemental?? Kwamba ninyi ni wema sana? Kwamba mnaijua kesho yenu? What if ukawa muaminifu lakini mwenza wako akakuletea?
Ifikie pahala muache kutoa hukumu zenu za kipilato wakati ninyi wenyewe siyo wasafi.!!
Thanks
Duh
you made my day nigga eti uhakika wa kuchakata papuchi daaahhh kwel hii dunia inawatu. Kwan -ve wenzako hawana papuchiDada akiwa mtu -ve na ni mkristo huwezi kumkubali? Maana mimi shida kubwa ni kupata uhakika wa kuchakata papuchi kila siku hayo mengine tutashauriana baadae
Sent from my iPhone using JamiiForums