Bado natafuta mwenza wa kiume HIV +

Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Nenda nyanda za juu kusini
 
Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Ungeweka email ama no ya simu mpya mana mtu akikudm inamana anakuja na id yake sasa amani ile hatakuwa nayo mana hana hakika kama umeamua tu kuandika ama ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Ni muda mrefu toka umeanza kutafuta nazan ni zaid ya miaka 3 sasa bado haujapata, au labda kuna vigezo vigum wanakutana navyo maana nakumbuka kuna jamaa yangu niliishakukonect nae akaja hadi huko .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni muda mrefu toka umeanza kutafuta nazan ni zaid ya miaka 3 sasa bado haujapata, au labda kuna vigezo vigum wanakutana navyo maana nakumbuka kuna jamaa yangu niliishakukonect nae akaja hadi huko .

Sent using Jamii Forums mobile app
Lbda ni ishu ya muda, inshallah mwambie ndugu yako azid kutafuta pia.. mana sio kila ataekufata basi atakua sahihi kuwa mwenza wako mana unawez kufatwa hata na wasio na dhamira kama ulizonazo.. so miaka sio tatizo.
 
Mungu ni mwema atakuskia ukimwamini yeye atakupa sawasawa na hitaji la moyo wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom