Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,509
Kila la kheri dear.
ThanteeKila la kheri dear.
unaishi wapNina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Rejea :
Majukumu ya kazi
Carleen nije kwako tuAmiin..!! Ukapate sawa sawa na hitaji lako dear..!!
Kila la kheri, ufanikiweNina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Rejea :
Majukumu ya kazi