Bado natafuta mwenza wa kiume HIV +

Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.

Rejea :








Majukumu ya kazi
unaishi wap
 
Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.

Rejea :








Majukumu ya kazi
Kila la kheri, ufanikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom