Bado naishangaa (admire) Urusi

Bado naishangaa (admire) Urusi

Mkuu dunia nzima ujasusi si namba mojaMmarekani, Pakistan kamzidii, orodha ya kijasusi wanaongoza duni ni ISI ya Pakistan ndiyo inaongoza.

Top 10 Most Powerful Intelligence Agencies In The World 2018

Pakistan, wanaoingiliwa na mtu kuuliwa tena ndani kabisa ya nchi yao tena wasijue hiyo nayo ya kusema.

Hata hii ya kwetu wakati wa Nyerere ilikuwa nzuri imekuja tu kuharibiwa na hawa watawala waliofuata kwa kuiondoa kwenye madhumuni yake na sasa imekuwa "Assassination Syndicate".
 
Pitia clip hii utaijua zaidi kidogo Russia

Dah! Kazan the depth destroyer.....hizi ndio silaha za maangamizi kwakweli....Weapons Of Mass Destruction, naona kama Sadam Hussein walimuonea kwa kusema anazo silaha za maangamizi, he had nothing compared to this Russian Submarine, seriosly!

Binadamu tukitaka kuangamiza dunia yetu tunayoishi wenyewe ni suala la saa chache tu dunia inakua majivu! Inaogopesha kwakweli
 
Tena huyo Marekani kapanda mwaka huu hadi namba mbili, alishika nafasi ya nne. ISI ya Pakistan akiongoza, akafuatia RAW ya India, akaja MOSSAD ya Israel ndiyo ikaja CIA.

Wanaume wa kazi hawana tambo za media wao ni kimyakimya
Hao wa Pakistan walishindwa kujuwa Bin Laden anafuatwa ndani Pakistan?Achana na fake news.
 
Nchi wanachama wa NATO wana idadi ya watu kama milioni 800 hivi. Urusi hadi kufika mwaka 2006 alikuwa na watu milioni 144 tu. Sasa hapa mtu yoyote mwenye akili timamu lazima ajiulize ni kwanini watu milioni 144 wawaogopeshe watu zaidi ya milioni 800 ???

Tena tunapokuja kwenye swala la Uchumi, umoja wa NATO una nchi kama Marekani, Ujerumani, Uingereza na Ufaransa ambazo ni Mataifa yenye viwanda vikubwa na yanamiliki sehemu kubwa ya uchumi wa dunia. Mataifa matatu ni wanachama wa kudumu wa Baraza la Ulinzi na Usalama la umoja wa Mataifa wenye kura za VETO.

Huku ukika zaidi taasisi zote kubwa za kiuchumi za Bretton Woods zinaongozwa na wao. Ambapo Raisi wa World Bank lazima awekwe na Marekani huku Raisi wa International Monetary Fund lazima awekwe na Ulaya. Sasa mpaka leo Mrusi anadunda tu japo kwa shida, lazima ana kitu cha ziada.
Naam kaka, kabisa kabisa!
 
Wataalazmu wa mambo ya intelijensia naomba msaada wenu, uzoefu wangu ni wakusoma vitabu vya espionage ziwe za kitechnolojia, uchumi , kijeshi au za kisiasa zinazohusisha mataifa makubwa ulimwenguni zikiwemo nchi za Marekani, Ulaya ya Magharibi kama Uingereza, Ujerumani Ufaransa na hata zilizokua nchi za kisoshalist za Ulaya ya Mashariki ikiwemo Urusi na Mashariki ya kati Israel ikiwa kinara

Katika usomaji wangu nakuta mara nyingi Urusi inafanya mambo ambayo kiakili unaona hayawezekani. Utakuta Shirika la Ujasusi la Urusi wakati huo linaitwa KGB(sijui sasa linaitwaje) linaendesha (lina run) ma agent wa CIA na kuwafanya kua double agents, yaani CIA agents wanakua informers kwa faida ya Urusi! Tena sio ofisa mmoja wa CIA au wawili ni kwa makumi kama ambavyo Marekani nao wanakua na watu wao ambao wana wa run ma agent wa Kirusi!

Kwa upeo mdogo wa mambo haya niliyokua nao naona ajabu sana Marekani kufanyiwa kitu hiki na Urusi mpaka najiuliza au ni kwavile vitabu ninavyosoma vingi ni fiction labda maana wahusika na matukio ya kubuni tu? Urusi kama inavyofanya Marekani ina run ma agents wa Nchi za Magharibi na kuna wengine wana defect kabisa na kuhamia Urusi!

Bado najiuliza kuna power ya Russia ambayo sisi hatuijui ila Marekani wanaitambua na kuiheshimu?Au Amerika inakua overrated na Russia inalijua hilo kwa hivyo hawaigopi?

Hapa nimemaliza kusoma litabu cha Frederick Forsyth THE DEVIL'S ALTERNATIVE, THE FOUTH PROTOCAl. Hawa jamaa wanapelelezana na wanajuana na huwezi jua nani zaidi. Ila sema tu kitabu ni fiction so sijui ukweli ukoje. Kama kuna anejua atupe darasa wana JF
Mkuu, kuna ukweli ambao team marekani huwa wanakuwa wagumu wa kukubali. Kwanza kabisa Vita ya kumtoa Hittler ni mrusi ndo alifanya kazi kubwa sana. America alikuja baadaye wakati mziki unaishia. Pia kwenye kuiba technoloji ya siraha enzi hizo kutoka Germany hasa kombora za rocket, russia ndo alikuwa wa kwanza kupata tech hiyo na wataalam wa hittler ingawa Marekani nao walichukua pia.
Kuna kipindi Russia ilishasema ina monitor sayansi yote ya dunia kwa ujumla na haitaruhusu nchi yoyote iwe juu kitechnolojia kuizidi. Mambo ya ubabe, kuiba mafuta ya waarabu kuwait, iraq, libya ni mambo ambayo anayafanya marekani lakini siyo kuwa juu kisanyansi kuizidi russia.
Russia ndo wa kwanza kwenda kwenye space, na ndo ana vituo huko mwezini hata kuwauzia wengine mafuta nk.
Ki inteligensia jamaa wako mbali sana na wana watu wao all over europe na marekani. Lakini ni ngumu sana CIA au FBI kuingia ndani kabisa russia.
Ki electronic na internet russia ni rahisi sana kuingia kwenye system za marekani kuliko marekani kuingia kwenye system zao. Ndo maana unaona kila kukicha marekani analia kama mtoto kwamba russia anaingilia mifumo yao, kuanzia mifumo ya maji, umeme, etc.
Kwa hiyo kiualisia huwezi kulinganisha tech ya russia na marekani. Lakini ki propaganda na siasa ndo unaona kama marekani wapo juu
 
Mkuu, kuna ukweli ambao team marekani huwa wanakuwa wagumu wa kukubali. Kwanza kabisa Vita ya kumtoa Hittler ni mrusi ndo alifanya kazi kubwa sana. America alikuja baadaye wakati mziki unaishia. Pia kwenye kuiba technoloji ya siraha enzi hizo kutoka Germany hasa kombora za rocket, russia ndo alikuwa wa kwanza kupata tech hiyo na wataalam wa hittler ingawa Marekani nao walichukua pia.
Kuna kipindi Russia ilishasema ina monitor sayansi yote ya dunia kwa ujumla na haitaruhusu nchi yoyote iwe juu kitechnolojia kuizidi. Mambo ya ubabe, kuiba mafuta ya waarabu kuwait, iraq, libya ni mambo ambayo anayafanya marekani lakini siyo kuwa juu kisanyansi kuizidi russia.
Russia ndo wa kwanza kwenda kwenye space, na ndo ana vituo huko mwezini hata kuwauzia wengine mafuta nk.
Ki inteligensia jamaa wako mbali sana na wana watu wao all over europe na marekani. Lakini ni ngumu sana CIA au FBI kuingia ndani kabisa russia.
Ki electronic na internet russia ni rahisi sana kuingia kwenye system za marekani kuliko marekani kuingia kwenye system zao. Ndo maana unaona kila kukicha marekani analia kama mtoto kwamba russia anaingilia mifumo yao, kuanzia mifumo ya maji, umeme, etc.
Kwa hiyo kiualisia huwezi kulinganisha tech ya russia na marekani. Lakini ki propaganda na siasa ndo unaona kama marekani wapo juu
Nashawishika kukubaliana na uchambuzi wako mkuu. Russia sio wapiga propaganda kama Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza. Utaona popote pale ambapo Marekani inafanya ubabe wake Russia akitia mguu Marekani wanaufyata na kurudi nyuma kisha wanaanza kupiga propaganda kama kule Syria.

Nadhani leo hii kama sio Urusi Assad angekua kashauliwa au kapinduliwa
 
Dah! Kazan the depth destroyer.....hizi ndio silaha za maangamizi kwakweli....Weapons Of Mass Destruction, naona kama Sadam Hussein walimuonea kwa kusema anazo silaha za maangamizi, he had nothing compared to this Russian Submarine, seriosly!

Binadamu tukitaka kuangamiza dunia yetu tunayoishi wenyewe ni suala la saa chache tu dunia inakua majivu! Inaogopesha kwakweli
Sio saa Ni dk chake tu dunia kwisha....
 
Mkuu, kuna ukweli ambao team marekani huwa wanakuwa wagumu wa kukubali. Kwanza kabisa Vita ya kumtoa Hittler ni mrusi ndo alifanya kazi kubwa sana. America alikuja baadaye wakati mziki unaishia. Pia kwenye kuiba technoloji ya siraha enzi hizo kutoka Germany hasa kombora za rocket, russia ndo alikuwa wa kwanza kupata tech hiyo na wataalam wa hittler ingawa Marekani nao walichukua pia.
Kuna kipindi Russia ilishasema ina monitor sayansi yote ya dunia kwa ujumla na haitaruhusu nchi yoyote iwe juu kitechnolojia kuizidi. Mambo ya ubabe, kuiba mafuta ya waarabu kuwait, iraq, libya ni mambo ambayo anayafanya marekani lakini siyo kuwa juu kisanyansi kuizidi russia.
Russia ndo wa kwanza kwenda kwenye space, na ndo ana vituo huko mwezini hata kuwauzia wengine mafuta nk.
Ki inteligensia jamaa wako mbali sana na wana watu wao all over europe na marekani. Lakini ni ngumu sana CIA au FBI kuingia ndani kabisa russia.
Ki electronic na internet russia ni rahisi sana kuingia kwenye system za marekani kuliko marekani kuingia kwenye system zao. Ndo maana unaona kila kukicha marekani analia kama mtoto kwamba russia anaingilia mifumo yao, kuanzia mifumo ya maji, umeme, etc.
Kwa hiyo kiualisia huwezi kulinganisha tech ya russia na marekani. Lakini ki propaganda na siasa ndo unaona kama marekani wapo juu
Unasema Marekani (CIA) Ni ngumu kuingia ndani ya Urusi wakati CIA Mara nyingine ndo wanakua wa Kwanza kuwajulisha hao wa Russia kwamba wanataka kushambuliwa na magaidi bila wao kujua. Mwaka Jana waliijulisha Urusi kua inataka kushambuliwa na Magaidi kule St Petersburg bila wenyewe kujua lolote mpaka Putin akampigia simu Trump kumshukuru kwa kazi waliyoifanya CIA ndani ya Urusi CIA Helping Russia Prevent Terror Attack 'Outstanding Example of Cooperation'
 
Back
Top Bottom