Naomba na mimi nichangie kidogo katika hii mada japo kaujuzi kangu ni kadogo
Tukianza na ISI
Hii inaweza kuwa the best or sio the best in the world kwasababu kuu zifuatazo
Mpaka sasa kwenye medani ya ujasusi sidhani kama kuna scale maalumu inayotumika kutambua nani bingwa na nani sio bingwa kama ilivyokuwa kwenye mpira, uchumi, maendeleo na mambo mengine yenye mizani
Kwa kutumia midhani chache tu unaweza kutambua kuwa world scale bado inayumba
kwa mfano.
kwenye nyanja za teknologia nadhani CIA hainaubishi inaongoza
kwa ukatiri ni FSB
Kwa ufanikishaji bila makele MI6
Kwa kufanikisha kupangua njama za maadui Mossad
Kutokutabirika na kutokuosomeka na wapinzani wake ni ISI
Sasa najikita kidogo kwanini takwimu nyingi zina weka pakistani juu ya hata mossad,cia N.K
Kulingana na kufanikisha, mazingira iliyopo nchi na hata ukubwa wa uchumi na maadui wanayoizunguuka ni ISI inapewa crediti nyingi.
wanasema ISI inatengeme vitu vikuu vitatu kuwashinda maadui na vyo ni unpredictability, ruthlessness and a lack of transparency hhivivitu vimeiwezesha ISI ku triumph in whatever it is tasked to do.
Unpredictability inachangiwa na mfumo wake. Director General always ni military man na ni Lieutenant General from the Pakistan Army. Huoongoza only kwa miaka 3 basi na lazima apishe mwingine ashike nafasi hiyo. Huyu D.G anaongoza division kadhaa amabazo yeye binafsi ndo anazijua the lest hawajuani na hawajui wenzao wako wapi na wanafanya nini. Kingine pakistani ina mchanganyiko wa waarabu na wahidi na wachina kitu kinachosaidia kufanya infiltration. Kikubwa zaidi nikuwa ISI ni part of military institution so unaweza kuona utofauti hapo.
Matukio makuu yanayo ifanya ISI kuogopewa ni uwezowake wa kumplant Abdul Qadeer Khan in Netherland akiwa kama research scientist katika chuo cha Amsterdam kumbe ametumwa kuiba teknolojia ya atomic bomb. Agent wote duniani hawakuweza kung'amua hilo mpaka pale pakistani ilipo test the first atomic bomb CIA walishangazwa sana.
In the year 2008 mwezi wa 11 tarehe 26 walifanikisha Mumbai attacks na kushangaza Indian Int. services.
Kitu kingine kikubwa kinacho wapa sifa ni uwezo waliouonyesha kwa kumficha Osama na Mullah Mohamed Omary for more than decade huku MI6,CIA na Mossad wakishirikiana kuwatafuta. Baada ya muda ISI ilimtoa kafara Osama kwa pesa za kutosha toka CIA.
Kingine kinachofanya western media kuwapa credit ISI ni uwezo wa kutrain terrosist group around the world bila kuacha finger prints zao. Mfano wa magroup hayo ni
Lashkar-e-Taiba,
Hizbul Mujahideen,
Jaish-e-Mohammed,
Haqqani network and others.
Kingine kikubwa ni uwezo walioonyesha kipindi cha SOVIET AFGHAN WAR kwakumsaidia mullar omary kuchukua nchi bila US-CIA kujua.
Lastly ISI operate under kivuli cha dini so ningumusana ku-infiltrate.