Bado naishangaa (admire) Urusi

Bado naishangaa (admire) Urusi

Tena huyo Marekani kapanda mwaka huu hadi namba mbili, alishika nafasi ya nne. ISI ya Pakistan akiongoza, akafuatia RAW ya India, akaja MOSSAD ya Israel ndiyo ikaja CIA.

Wanaume wa kazi hawana tambo za media wao ni kimyakimya
sasa mkuu huyo MOSSAD auongoze dhidi ya CIA huku wenyewe huwa wanapewa msaada na hao CIA
 
Na mimi nilikua nashaangaa, hiyo Pakistan ina nini cha zaidi? Technolojia anampita Marekani? Mbona kuna oparations zingine za kijasusi hua zinafanywa na Marekani ndani ya Pakistani na wenyewe hawajui, wakija kushtuka wenzao washamliza mission yao
Pengine kuna mashambulizi mengi ya wamarekani yameshindikana sababi ya intelegensia yao, kua bora haina maana kua huwezi guswa kabisa
 
Russian strategic nuclear forces
MKUU KOMBORA MOJA LA SARMAT ICBM LIKITUMWA LONDON LINA KULA NCHI NNE
UK YOTE
UFARANSA HALF
BELGIUM YOTE
HOLLAND YOTE
SASA HAPO LAZIMA MUWEWADOGO
The Sarmat ICBM is one of the six new Russian strategic weapons unveiled by President Vladimir Putin on 1 March 2018.

sarmat.jpg

hqdefault.jpg


4b163d9083fbf2840842a6368361cedc.jpg

mmm.jpg
Hata NATO nao wanayo, mengi tu lakini bado wanamwogopa. Urusi ilianza kuogopwa hata kabla ya kumiliki silaha za nyuklia, Adolf Hitler alisema kwamba ni hatari kwa usalama wa Ulaya ndiyo akavamia mwaka 1941.
 
kama ni kweli urusi ilihusika aidha kwenye kampeni au kura katika uchaguzi wa marekani na brexit itakuwa ni shambulizi la kijasusi kubwa lenye mafanikio kuliko yote ktk historia ya ulimwengu,kwa cyber warfare warussi wako juu sana kuliko us,uk labda watatoka droo na israeli
 
Propaganda ina nafasi kubwa sana katika mataifa makubwa. Naam, mada nzuri sana. Ila kiujumla, inaonyesha Russia wako vizuri sana. Maana kuanzishwa kwa NATO kulilenga kuzuia uwezo wa Russia ....kwenye mambo kama hayo. Nchi zaidi ya 20, dhidi ya nchi moja? Kama mtoa mada alivyonena, bila Shaka kuna mengi mno...tusiyoyajua.
naaam nikweli " nakubaliana nawewe " kwa hii essay yako russia watakuwa sio watu wazuri aisee
 
Naomba na mimi nichangie kidogo katika hii mada japo kaujuzi kangu ni kadogo

Tukianza na ISI

Hii inaweza kuwa the best or sio the best in the world kwasababu kuu zifuatazo
Mpaka sasa kwenye medani ya ujasusi sidhani kama kuna scale maalumu inayotumika kutambua nani bingwa na nani sio bingwa kama ilivyokuwa kwenye mpira, uchumi, maendeleo na mambo mengine yenye mizani
Kwa kutumia midhani chache tu unaweza kutambua kuwa world scale bado inayumba
kwa mfano.
kwenye nyanja za teknologia nadhani CIA hainaubishi inaongoza
kwa ukatiri ni FSB
Kwa ufanikishaji bila makele MI6
Kwa kufanikisha kupangua njama za maadui Mossad
Kutokutabirika na kutokuosomeka na wapinzani wake ni ISI

Sasa najikita kidogo kwanini takwimu nyingi zina weka pakistani juu ya hata mossad,cia N.K
Kulingana na kufanikisha, mazingira iliyopo nchi na hata ukubwa wa uchumi na maadui wanayoizunguuka ni ISI inapewa crediti nyingi.
wanasema ISI inatengeme vitu vikuu vitatu kuwashinda maadui na vyo ni unpredictability, ruthlessness and a lack of transparency hhivivitu vimeiwezesha ISI ku triumph in whatever it is tasked to do.

Unpredictability inachangiwa na mfumo wake. Director General always ni military man na ni Lieutenant General from the Pakistan Army. Huoongoza only kwa miaka 3 basi na lazima apishe mwingine ashike nafasi hiyo. Huyu D.G anaongoza division kadhaa amabazo yeye binafsi ndo anazijua the lest hawajuani na hawajui wenzao wako wapi na wanafanya nini. Kingine pakistani ina mchanganyiko wa waarabu na wahidi na wachina kitu kinachosaidia kufanya infiltration. Kikubwa zaidi nikuwa ISI ni part of military institution so unaweza kuona utofauti hapo.

Matukio makuu yanayo ifanya ISI kuogopewa ni uwezowake wa kumplant Abdul Qadeer Khan in Netherland akiwa kama research scientist katika chuo cha Amsterdam kumbe ametumwa kuiba teknolojia ya atomic bomb. Agent wote duniani hawakuweza kung'amua hilo mpaka pale pakistani ilipo test the first atomic bomb CIA walishangazwa sana.

In the year 2008 mwezi wa 11 tarehe 26 walifanikisha Mumbai attacks na kushangaza Indian Int. services.

Kitu kingine kikubwa kinacho wapa sifa ni uwezo waliouonyesha kwa kumficha Osama na Mullah Mohamed Omary for more than decade huku MI6,CIA na Mossad wakishirikiana kuwatafuta. Baada ya muda ISI ilimtoa kafara Osama kwa pesa za kutosha toka CIA.

Kingine kinachofanya western media kuwapa credit ISI ni uwezo wa kutrain terrosist group around the world bila kuacha finger prints zao. Mfano wa magroup hayo ni Lashkar-e-Taiba, Hizbul Mujahideen, Jaish-e-Mohammed, Haqqani network and others.

Kingine kikubwa ni uwezo walioonyesha kipindi cha SOVIET AFGHAN WAR kwakumsaidia mullar omary kuchukua nchi bila US-CIA kujua.

Lastly ISI operate under kivuli cha dini so ningumusana ku-infiltrate.
duuuuh kweli " CIA " Mossad" m16 ..ni makelele hao ISI ",ni watu hatari aisee
 
WARSAW PACT ILIANZAKUFAA MNAMO MWAKA 1999 BAADA YA CZECH, HUNGARY NA POLAND KUJIUNGA NA NATO NA MWAKA 2004 BULGARIA, ESTONIA, LATVIA, LITHUANIA, ROMANIA AND SLOVAKIA NAO WALIJIUNGA NA NATO.
KUBALANCE POWER,IKAANZISHWA SHANGHAI COOPERATION ORGANIZATION IKIWA NI MABORESHO YA SHANGHAI FIVE.NA KUNA BRICS PIA. SO TOGETHER WANAKUWA NA STRATEGIC DEFENSE AND ECONOMIC BALANCE KU COUNTER NATO
alaaaa kumbe ""!!
 
hivyo basi wao kwa ujuzi uliotajwa hapo wala hawahitaji teknolojia nyiingi sana wanapata kidogo wanachanganya na walivyojaliwa na muumba na mambo yanaenda marekani nao saa nyingine vuvuzela sana.
sahihi " USA. vuvuzela mnoo
 
Vice versa ni kweli ..... Hata US wana recruit ma FSB nakua double agents .

Dunia ni hii hiii!!!
 
Hiyo list inatupaje China..wakati imefanikiwa kutungua ma'agents' wa US kama mwenye manati atunguavyo kwerea kwerea kwenye shamba la mtama? ...List inawalakini!
China yupo ila si namba moja, kumi bora yupo. Tukio moja aliwapi ushindi kwa kishindo

US alichoweza ni kutumia vyombo vya habari vya nchi yake na vya washirika wake kujitangaza ana nguvu, anajitahidi sana kuficha udhaifu wake ila ukweli utabaki tu si mwenye nguvu sana..

Anga za ujasusi wanaume wa kazi hawaongei sana na kujitagaza kila kukicha kwa propaganda, wao ni action tu.
 
Naomba na mimi nichangie kidogo katika hii mada japo kaujuzi kangu ni kadogo

Tukianza na ISI

Hii inaweza kuwa the best or sio the best in the world kwasababu kuu zifuatazo
Mpaka sasa kwenye medani ya ujasusi sidhani kama kuna scale maalumu inayotumika kutambua nani bingwa na nani sio bingwa kama ilivyokuwa kwenye mpira, uchumi, maendeleo na mambo mengine yenye mizani
Kwa kutumia midhani chache tu unaweza kutambua kuwa world scale bado inayumba
kwa mfano.
kwenye nyanja za teknologia nadhani CIA hainaubishi inaongoza
kwa ukatiri ni FSB
Kwa ufanikishaji bila makele MI6
Kwa kufanikisha kupangua njama za maadui Mossad
Kutokutabirika na kutokuosomeka na wapinzani wake ni ISI

Sasa najikita kidogo kwanini takwimu nyingi zina weka pakistani juu ya hata mossad,cia N.K
Kulingana na kufanikisha, mazingira iliyopo nchi na hata ukubwa wa uchumi na maadui wanayoizunguuka ni ISI inapewa crediti nyingi.
wanasema ISI inatengeme vitu vikuu vitatu kuwashinda maadui na vyo ni unpredictability, ruthlessness and a lack of transparency hhivivitu vimeiwezesha ISI ku triumph in whatever it is tasked to do.

Unpredictability inachangiwa na mfumo wake. Director General always ni military man na ni Lieutenant General from the Pakistan Army. Huoongoza only kwa miaka 3 basi na lazima apishe mwingine ashike nafasi hiyo. Huyu D.G anaongoza division kadhaa amabazo yeye binafsi ndo anazijua the lest hawajuani na hawajui wenzao wako wapi na wanafanya nini. Kingine pakistani ina mchanganyiko wa waarabu na wahidi na wachina kitu kinachosaidia kufanya infiltration. Kikubwa zaidi nikuwa ISI ni part of military institution so unaweza kuona utofauti hapo.

Matukio makuu yanayo ifanya ISI kuogopewa ni uwezowake wa kumplant Abdul Qadeer Khan in Netherland akiwa kama research scientist katika chuo cha Amsterdam kumbe ametumwa kuiba teknolojia ya atomic bomb. Agent wote duniani hawakuweza kung'amua hilo mpaka pale pakistani ilipo test the first atomic bomb CIA walishangazwa sana.

In the year 2008 mwezi wa 11 tarehe 26 walifanikisha Mumbai attacks na kushangaza Indian Int. services.

Kitu kingine kikubwa kinacho wapa sifa ni uwezo waliouonyesha kwa kumficha Osama na Mullah Mohamed Omary for more than decade huku MI6,CIA na Mossad wakishirikiana kuwatafuta. Baada ya muda ISI ilimtoa kafara Osama kwa pesa za kutosha toka CIA.

Kingine kinachofanya western media kuwapa credit ISI ni uwezo wa kutrain terrosist group around the world bila kuacha finger prints zao. Mfano wa magroup hayo ni Lashkar-e-Taiba, Hizbul Mujahideen, Jaish-e-Mohammed, Haqqani network and others.

Kingine kikubwa ni uwezo walioonyesha kipindi cha SOVIET AFGHAN WAR kwakumsaidia mullar omary kuchukua nchi bila US-CIA kujua.

Lastly ISI operate under kivuli cha dini so ningumusana ku-infiltrate.
Mkuu,umefafanua vema sana
 
Wanasema ISI,ilifanikisha kwa namna Fulani kuangusha superpower mmoja,yaani soviet union,kwa kuprolong vita vya afaghnistan,kisha said akamaliza kwa kushusha being ya Mafuta na hiyo kuvuruga uchumi wa soviet,
Ndo maana sasa Russia hakujidumbukiza mzima mzima Kule Syria kwa kupeleka ground troops,kwa kuhofia habari ya afaghnistan kujirudia.
Na baada ya hapo,ISI,ilitaka kuangusha superpower nyingine,yaani marekani,kwa kuanzisha na kufadhili Taliban,na kuprolong vita vya afaghnistan,hadi waukamue uchumi wa marekani,na hii ndo maana Taliban imeshindikana kupotezwa,sababu inapata misaada ya kiiteligence na silaha,toka Pakistan,na fedha kutoka Saudi Arabia.
Kwa maelezo yako mkuu,inaonyesha huu mchezo ni wa kugeukana sana. Maana hujui mwenzako ana lengo gani
 
ISI walikuwa wanashirikiana sana na CIA,has a kipindi soviet union ilipoiingia Afaghnistan,hawa ISI ndo wakipikea fund na silaha toka marekani kisha wanawatrain mujahidina akina bin laden na kuwapa silaha za kupambana na mrusi,kila kitu toka marekani kilipita mikononi mwa ISI,lengo likiwa kumtepetesha mrusi kiuchumi na kijeshi kwa kufanya ukaliaji wake afaghnistan use wa gharama kubwa
Nikweli kabisa hata Trump aliwahi kumshambulia mama Clinton kuwa nyuma ya ISIs kuna picha pia ilionyesha mpaka gari ya kimarekani ford pickup ikiwa migoni imebeba silaha na wapiganaji wa IS
 
Naomba na mimi nichangie kidogo katika hii mada japo kaujuzi kangu ni kadogo

Tukianza na ISI

Hii inaweza kuwa the best or sio the best in the world kwasababu kuu zifuatazo
Mpaka sasa kwenye medani ya ujasusi sidhani kama kuna scale maalumu inayotumika kutambua nani bingwa na nani sio bingwa kama ilivyokuwa kwenye mpira, uchumi, maendeleo na mambo mengine yenye mizani
Kwa kutumia midhani chache tu unaweza kutambua kuwa world scale bado inayumba
kwa mfano.
kwenye nyanja za teknologia nadhani CIA hainaubishi inaongoza
kwa ukatiri ni FSB
Kwa ufanikishaji bila makele MI6
Kwa kufanikisha kupangua njama za maadui Mossad
Kutokutabirika na kutokuosomeka na wapinzani wake ni ISI

Sasa najikita kidogo kwanini takwimu nyingi zina weka pakistani juu ya hata mossad,cia N.K
Kulingana na kufanikisha, mazingira iliyopo nchi na hata ukubwa wa uchumi na maadui wanayoizunguuka ni ISI inapewa crediti nyingi.
wanasema ISI inatengeme vitu vikuu vitatu kuwashinda maadui na vyo ni unpredictability, ruthlessness and a lack of transparency hhivivitu vimeiwezesha ISI ku triumph in whatever it is tasked to do.

Unpredictability inachangiwa na mfumo wake. Director General always ni military man na ni Lieutenant General from the Pakistan Army. Huoongoza only kwa miaka 3 basi na lazima apishe mwingine ashike nafasi hiyo. Huyu D.G anaongoza division kadhaa amabazo yeye binafsi ndo anazijua the lest hawajuani na hawajui wenzao wako wapi na wanafanya nini. Kingine pakistani ina mchanganyiko wa waarabu na wahidi na wachina kitu kinachosaidia kufanya infiltration. Kikubwa zaidi nikuwa ISI ni part of military institution so unaweza kuona utofauti hapo.

Matukio makuu yanayo ifanya ISI kuogopewa ni uwezowake wa kumplant Abdul Qadeer Khan in Netherland akiwa kama research scientist katika chuo cha Amsterdam kumbe ametumwa kuiba teknolojia ya atomic bomb. Agent wote duniani hawakuweza kung'amua hilo mpaka pale pakistani ilipo test the first atomic bomb CIA walishangazwa sana.

In the year 2008 mwezi wa 11 tarehe 26 walifanikisha Mumbai attacks na kushangaza Indian Int. services.

Kitu kingine kikubwa kinacho wapa sifa ni uwezo waliouonyesha kwa kumficha Osama na Mullah Mohamed Omary for more than decade huku MI6,CIA na Mossad wakishirikiana kuwatafuta. Baada ya muda ISI ilimtoa kafara Osama kwa pesa za kutosha toka CIA.

Kingine kinachofanya western media kuwapa credit ISI ni uwezo wa kutrain terrosist group around the world bila kuacha finger prints zao. Mfano wa magroup hayo ni Lashkar-e-Taiba, Hizbul Mujahideen, Jaish-e-Mohammed, Haqqani network and others.

Kingine kikubwa ni uwezo walioonyesha kipindi cha SOVIET AFGHAN WAR kwakumsaidia mullar omary kuchukua nchi bila US-CIA kujua.

Lastly ISI operate under kivuli cha dini so ningumusana ku-infiltrate.
Mkuu umemaliza kila kitu hapo, watakaobisha wabishe kivyao tu. ISI ni habari nyingine
 
Back
Top Bottom