Bado naishangaa (admire) Urusi

Bado naishangaa (admire) Urusi

Na mimi nilikua nashaangaa, hiyo Pakistan ina nini cha zaidi? Technolojia anampita Marekani? Mbona kuna oparations zingine za kijasusi hua zinafanywa na Marekani ndani ya Pakistani na wenyewe hawajui, wakija kushtuka wenzao washamliza mission yao

Marekani inafanya oparation za uwongo...pakistani inatumia wanatabia ya kujigeuza mara wawe wahindu,au tabligh au mkanada au singasinga n.k..kwahio ni ngumu ku reconise.
 
Unasema Marekani (CIA) Ni ngumu kuingia ndani ya Urusi wakati CIA Mara nyingine ndo wanakua wa Kwanza kuwajulisha hao wa Russia kwamba wanataka kushambuliwa na magaidi bila wao kujua. Mwaka Jana waliijulisha Urusi kua inataka kushambuliwa na Magaidi kule St Petersburg bila wenyewe kujua lolote mpaka Putin akampigia simu Trump kumshukuru kwa kazi waliyoifanya CIA ndani ya Urusi CIA Helping Russia Prevent Terror Attack 'Outstanding Example of Cooperation'
Possible maana inawezekana plan ilifanyikia marekani.
 
Kuna kitu wamarekani wanakijua kuhusu uwezo wa urusi ambao sisi hatukijui ndo maana wao wanaheshimiana sana!....sisi tutaishia kubishana tu!......Ila warusi ni best kwenye hesabu na physics!
 
Kuna kitu wamarekani wanakijua kuhusu uwezo wa urusi ambao sisi hatukijui ndo maana wao wanaheshimiana sana!....sisi tutaishia kubishana tu!......Ila warusi ni best kwenye hesabu na physics!
wale jamaa iq iko juu..nikikumbuka walivopandikiza mtu mi6 mpaka akawa kaimu mkurugenzi taifa nachoka,pale fbi wakaweka pandikizi lao,likadakwa 2000/01...hawana mbwembwe tu kama wale mabepari
 
Wataalazmu wa mambo ya intelijensia naomba msaada wenu, uzoefu wangu ni wakusoma vitabu vya espionage ziwe za kitechnolojia, uchumi , kijeshi au za kisiasa zinazohusisha mataifa makubwa ulimwenguni zikiwemo nchi za Marekani, Ulaya ya Magharibi kama Uingereza, Ujerumani Ufaransa na hata zilizokua nchi za kisoshalist za Ulaya ya Mashariki ikiwemo Urusi na Mashariki ya kati Israel ikiwa kinara

Katika usomaji wangu nakuta mara nyingi Urusi inafanya mambo ambayo kiakili unaona hayawezekani. Utakuta Shirika la Ujasusi la Urusi wakati huo linaitwa KGB(sijui sasa linaitwaje) linaendesha (lina run) ma agent wa CIA na kuwafanya kua double agents, yaani CIA agents wanakua informers kwa faida ya Urusi! Tena sio ofisa mmoja wa CIA au wawili ni kwa makumi kama ambavyo Marekani nao wanakua na watu wao ambao wana wa run ma agent wa Kirusi!

Kwa upeo mdogo wa mambo haya niliyokua nao naona ajabu sana Marekani kufanyiwa kitu hiki na Urusi mpaka najiuliza au ni kwavile vitabu ninavyosoma vingi ni fiction labda maana wahusika na matukio ya kubuni tu? Urusi kama inavyofanya Marekani ina run ma agents wa Nchi za Magharibi na kuna wengine wana defect kabisa na kuhamia Urusi!

Bado najiuliza kuna power ya Russia ambayo sisi hatuijui ila Marekani wanaitambua na kuiheshimu?Au Amerika inakua overrated na Russia inalijua hilo kwa hivyo hawaigopi?

Hapa nimemaliza kusoma litabu cha Frederick Forsyth THE DEVIL'S ALTERNATIVE, THE FOUTH PROTOCAl. Hawa jamaa wanapelelezana na wanajuana na huwezi jua nani zaidi. Ila sema tu kitabu ni fiction so sijui ukweli ukoje. Kama kuna anejua atupe darasa wana JF
Unataka kujua ili iweje mkuu? Lengo lako ni kujifunza ama nini?
 
Pengine wewe ni "mkazi" wa "nyumba" nyingine sasa unataka kupata habari ya jinsi ya "kusafisha" nyumba ya jirani!!
Mafunzo mema mkuu.
Hahahaa, ningekua mkazi wa hizo "nyumba" si wenyewe hao wangenipa mafunzo mkuu wakati mimi huku naokoteza okoteza vijimaarifa mtandaoni kwa kuuliza uliza wanaojua sababu ya curiosity yangu tu
 
Unasema Marekani (CIA) Ni ngumu kuingia ndani ya Urusi wakati CIA Mara nyingine ndo wanakua wa Kwanza kuwajulisha hao wa Russia kwamba wanataka kushambuliwa na magaidi bila wao kujua. Mwaka Jana waliijulisha Urusi kua inataka kushambuliwa na Magaidi kule St Petersburg bila wenyewe kujua lolote mpaka Putin akampigia simu Trump kumshukuru kwa kazi waliyoifanya CIA ndani ya Urusi CIA Helping Russia Prevent Terror Attack 'Outstanding Example of Cooperation'
Unajuaje Kama CIA ndo walitengeneza tukio Hilo kwa malengo maalum....
 
Hadi kudukuliwa FBI na CIA wanashughulika wao? Maana kuna watu wanadukua system za hiyo mitandao kama kumeza maji na hawajashilwa

NSA kuna mahacker tu wa mtaani wamewashinda
Hujui unacho kiongea ww
Jaribu kufatilia reliable sources upate kidogo mwanagaza

Anzia apa

Operation prism
xkeyscore
 
IRAN VIPI NDUGU ZANGU HUSUSAN KUWA NA SHIRIKA BORA LA UJASUSI??MAANA JAMAA NCHI YAO NI NGUMU SANA KUSIKIA MILIPUKO YA MABOMU
 
KWA PAKISTAN KUWA NA SHIRIKA IMARA LA KIJASUSI NI SAWA MAANA ADUI YAO WA KUDUMU NI INDIA
INDIA NA PAKISTAN HAZIIVI KABISA INGAWA WOTE NI WAHINDI

INDIA WANA POPULATION KAMA MILIONI 1200 WAKATI PAKISTAN WAPO MILIONI KAMA 180 HIVI LAKINI HIZI NCHI WANATUNISHIANA MISULI BALAA

PAKISTAN BAADA YA KUONA INDIA ANA NYUKLIA WALIAPA BORA WALE HATA MAJANI LAKINI NI LAZIMA WAWE NA NYUKLIA NA KWELI IMEKUA HIVYO
 
Back
Top Bottom