vivian JF-Expert Member Nov 2, 2009 1,749 1,000 May 9, 2014 #1 I hope wale wa kupokea Tar 5 bado mnazo. sisi wa tar 25 tulishamaliza kitamboooo!!!! ijumaa hii inakuweje sasa? kwani serikalini wanalipaga mishahara tar ngapi? hakuna wazee wa kat bar humu coz walichota mahela mengi sana.
I hope wale wa kupokea Tar 5 bado mnazo. sisi wa tar 25 tulishamaliza kitamboooo!!!! ijumaa hii inakuweje sasa? kwani serikalini wanalipaga mishahara tar ngapi? hakuna wazee wa kat bar humu coz walichota mahela mengi sana.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,853 41,186 May 9, 2014 #2 Private sectors hela ipo kila siku, missing you vivian
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 May 9, 2014 #4 Wale wa kulipwa kila mwisho wa wiki naona bata mwanzo mwisho
Smiller Senior Member Feb 10, 2014 181 41 May 9, 2014 #5 vivian said: I hope wale wa kupokea Tar 5 bado mnazo. sisi wa tar 25 tulishamaliza kitamboooo!!!! ijumaa hii inakuweje sasa? kwani serikalini wanalipaga mishahara tar ngapi? hakuna wazee wa kat bar humu coz walichota mahela mengi sana. Click to expand... Hapo unanichanganya Mimi Kabopa kabisaaaaaaaa .......kumbe kuna kitu chaitwa mshahara??? Yetoo
vivian said: I hope wale wa kupokea Tar 5 bado mnazo. sisi wa tar 25 tulishamaliza kitamboooo!!!! ijumaa hii inakuweje sasa? kwani serikalini wanalipaga mishahara tar ngapi? hakuna wazee wa kat bar humu coz walichota mahela mengi sana. Click to expand... Hapo unanichanganya Mimi Kabopa kabisaaaaaaaa .......kumbe kuna kitu chaitwa mshahara??? Yetoo