Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Mkulungwa nimerudi tena, mpaka leo bado nipo tu home wife aliniombea ruhusa ya week 2, korodani zangu bado zinauma mno, yaani hata kuoga peke yangu siwezi.
Wife amekuwa akiniogesha hizi siku mbili tatu. Bado nachechemea, nina hasira naye bado. Mpaka watoto wanamuuliza mama yao kuwa kwa nini baba alikuwa analia? Nimeaibika mno.
Bado nafikiria nichukue hatua gani? Je, nikamsemee ukweni kwao Moshi huyu mke wangu? Au nimpe likizo?
Jana niligoma sex alikuwa anataka kunipa ila bado korodani zinauma japokuwa namudu kusimamisha vizuri(nashukuru Mungu kwa hilo)
Maoni yenu bado ni muhimu kwangu.
Kifupi bado sijatengamaa! Hiyo ndiyo hali yangu halisi kwa sasa.
Wife amekuwa akiniogesha hizi siku mbili tatu. Bado nachechemea, nina hasira naye bado. Mpaka watoto wanamuuliza mama yao kuwa kwa nini baba alikuwa analia? Nimeaibika mno.
Bado nafikiria nichukue hatua gani? Je, nikamsemee ukweni kwao Moshi huyu mke wangu? Au nimpe likizo?
Jana niligoma sex alikuwa anataka kunipa ila bado korodani zinauma japokuwa namudu kusimamisha vizuri(nashukuru Mungu kwa hilo)
Maoni yenu bado ni muhimu kwangu.
Kifupi bado sijatengamaa! Hiyo ndiyo hali yangu halisi kwa sasa.