Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,622
Root browse kakaKwenye simu yako kuna es file manager au Root browser?
Root browse kakaKwenye simu yako kuna es file manager au Root browser?
1.Kama una root browser ifungue kisha nenda storage had kwenye file ulipoweka hiyo bootanimation.zip waweza i capy au ukai move.Root browse kaka
Kama simu yako ume root nenda platstore dawnload ifont appUkitaka simu iwe na maandishi yaliyolala unafanyaje?
Nenda settings - apps - app info zen clear dataniajer.. samahani jamani tatizo langu mimi ni instagram yangu... siwezi ku upload pboto.... naifungua insta vizuri naweka picha fresh kamakuna editing nataka kufanya nafanya fresh, sema nikiweka next ili picha ifike ile hatua ya mwisho ambayo ndo tunaandika caption then tunaupload....ina crush then inarudi main page.... almost mwezi sasa tatizo ni hilo hilo, nimejaribu ku_unstall then kudownload upya lakini bado tatizo ni hilo hilo... please... kama una ezoefu na hilo tusaidiane jamani.. asante
Katika android yako amini unaweza kubadili chochote usichokipenda mfano nembo ya tecno sim inapowaka na kuzima
2.kubadili rangi ya notification bar
3.kubadili ringtone na kuweka za nyimbo unazotaka
Na vingine vingi kiurahisi tuu.
SEMA WEWE UNATAKA KUBADILI NINI? NIKUSAIDIE UBADILI HAPO HAPO.
NOTE:KUBADILI HIVI VITU UNATAKIWA KU ROOT KWANZA SIM YAKO HIVO
1.Download kingroot app kwenye google
2.install na bonyeza batan kubwa ya duara ikionesha tiki ujue tayari
3.sim inaweza kuzima na hujiwasha yenyewe(boot) kwahio usiwe na hofu haujaalibu kifaa chako
4.kama haikuzima zima na iwashe utaona app ya supersu imetokea kwenye menyu ujue tayari
Kuweka custom rom sio rahis sabab ukikosea kidogo una haribu sim yako na pili mi sio mzoefu sana sabab nimewahi kuweka sim moja tuu na baada ya hapo ilikua inasumbua ku detect network signal
Kingroot inapatika google.Hiyo king root ipo google play store au unadownload kienyeji kwa kugoogle tu?
Mkuu niuzie Mimi hiyo phne, haijafa imezilai tu hiyo me mwenyewe ishantokea hiyo ila nkapambana mpka Leo IPO hewani.Mimi niliwahi kuroot Huawei y300 kwa kutumia vROOT lakini siku moja katika harakati za kubadilisha font ikanipa option ya ku reboot. Haikuwaka tena mpaka leo ni mfu. From that day nimeheshimu sana system files na sitaroot simu yangu tena milele, bora nitumie default customisation setting.. Nimepeleka kwa mafundi hadi nairobi but wote walishindwa, ilidisplay logo ya huawei tu, ikagomea hapo.. Its one of my spares now
Nitafte nitaiponeshaMimi niliwahi kuroot Huawei y300 kwa kutumia vROOT lakini siku moja katika harakati za kubadilisha font ikanipa option ya ku reboot. Haikuwaka tena mpaka leo ni mfu. From that day nimeheshimu sana system files na sitaroot simu yangu tena milele, bora nitumie default customisation setting.. Nimepeleka kwa mafundi hadi nairobi but wote walishindwa, ilidisplay logo ya huawei tu, ikagomea hapo.. Its one of my spares now
Mkuu iCode vp niuzie mi nina shida na touch kama vp nipigie 0716863406Mimi niliwahi kuroot Huawei y300 kwa kutumia vROOT lakini siku moja katika harakati za kubadilisha font ikanipa option ya ku reboot. Haikuwaka tena mpaka leo ni mfu. From that day nimeheshimu sana system files na sitaroot simu yangu tena milele, bora nitumie default customisation setting.. Nimepeleka kwa mafundi hadi nairobi but wote walishindwa, ilidisplay logo ya huawei tu, ikagomea hapo.. Its one of my spares now
Mimi nataka kubadili notification bar nimeshairootKatika android yako amini unaweza kubadili chochote usichokipenda mfano nembo ya tecno sim inapowaka na kuzima
2.kubadili rangi ya notification bar
3.kubadili ringtone na kuweka za nyimbo unazotaka
Na vingine vingi kiurahisi tuu.
SEMA WEWE UNATAKA KUBADILI NINI? NIKUSAIDIE UBADILI HAPO HAPO.
NOTE:KUBADILI HIVI VITU UNATAKIWA KU ROOT KWANZA SIM YAKO HIVO
1.Download kingroot app kwenye google
2.install na bonyeza batan kubwa ya duara ikionesha tiki ujue tayari
3.sim inaweza kuzima na hujiwasha yenyewe(boot) kwahio usiwe na hofu haujaalibu kifaa chako
4.kama haikuzima zima na iwashe utaona app ya supersu imetokea kwenye menyu ujue tayari
hehehe ati ujanja wote huu umeshnwa kubadili radio baada ya kuflash custom rom je ukiambuwa ubadilishe kernel na uoverclockKuweka custom rom sio rahis sabab ukikosea kidogo una haribu sim yako na pili mi sio mzoefu sana sabab nimewahi kuweka sim moja tuu na baada ya hapo ilikua inasumbua ku detect network signal
bro hata custom rom ya teCno hamNa sasa unataka clockwork ya niniNataka kuInstall,CWM recovery kwenye tecno p9. Nimetumia apps nyingi zimeshindwa
Mie natumia tecno C5 nahitaji typing effect kama bold etc...kama zile zinazopatikana katika Sumsungroot sim yako kama nlivyo elekeza mwanzo na mambo yote yatakua poa