Badili kitu chochote kwenye smartphone yako ya android

Badili kitu chochote kwenye smartphone yako ya android

Ni kweli internal memory imebaki 200 na kitu mb,so nifanyeje Mr Captein,msaada please
 
nimedownload kingroot ila imenijia kwa kichina. KINGROOT 4.0 Latest version
msaada
 
wadau kwa kesi yangu hapo nifanyaje angalia hyo picha hapo juu sikuti zip folder niliyoidownload msaada please
 
kiufupi ku root sim yani ni kuruhusu simu uwe na uwezo wa kutumia kila kitu kama kufuta application za sim ambazo hazifutikagi kama huzitumii

Captain hebu nisaidie, simu yangu samsung note II GT 7100 iko slow mno kwenye Internet, yani kufungua page ni kwa kubahatisha kabisa, nini inaweza kuwa tatizo, pia niki select WCDMA only kwenye network inakata kabisa net.
Unaweza nishauri cha kufanya tafadhali?
 
mimi nimedowload hiyo root browser nanaka nibadilishe neno la tecno linalotokea wakati nawasha
 
Captain hebu nisaidie, simu yangu samsung note II GT 7100 iko slow mno kwenye Internet, yani kufungua page ni kwa kubahatisha kabisa, nini inaweza kuwa tatizo, pia niki select WCDMA only kwenye network inakata kabisa net.
Unaweza nishauri cha kufanya tafadhali?

Mkuu ilishanitokea hii shida,simu model hiyohiyo, badilisha line,Mimi nlikua natumia Airtel nikaweka tigo tatizo likaisha.Hamia mtandao ambao upo vizuri eneo ulipo.
 
Mkuu ilishanitokea hii shida,simu model hiyohiyo, badilisha line,Mimi nlikua natumia Airtel nikaweka tigo tatizo likaisha.Hamia mtandao ambao upo vizuri eneo ulipo.
Nashukuru kwa ushauri lakini nimeshajaribu mitandao miwili tofauti yote ni vilevile, airtel na tigo, simu yangu nyingine perfomance ni super kwa line hizohizo
 
Mimi niliwahi kuroot Huawei y300 kwa kutumia vROOT lakini siku moja katika harakati za kubadilisha font ikanipa option ya ku reboot. Haikuwaka tena mpaka leo ni mfu. From that day nimeheshimu sana system files na sitaroot simu yangu tena milele, bora nitumie default customisation setting.. Nimepeleka kwa mafundi hadi nairobi but wote walishindwa, ilidisplay logo ya huawei tu, ikagomea hapo.. Its one of my spares now

inaweza kuwaka tena kama bado unayo check link hii hapa https://www.jamiiforums.com/tech-ga...epair-matatizo-ya-software-kwenye-huawei.html
 
Tafadhali naomba unielekeze jinsi ya kufuta vitu,app zilizoko kwenye internal memory ili nipate space,cm inakuwa haina nguvu kabisa mkuu,samahan kwa usumbufu wowote
 
Mm na Xperia z1 compact je na weza I root mfano ikaweza kudwnload application ya ant thieft
 
download app ya link2sd na itumie kufuta app ya
1.google play services
2.play store

download upya version tofauti za hizo app na install zote ukimaliza fungua link2sd na ziguse kwa muda mrefu alafu chagua convert to system app .ukimaliza bonya upande wa kushoto juu katika link2sd bonya reboot alafu ikiwaka sim jaribu kutumia

Mkuu asante kwa though sijafanikiwa
Niki uninstall google play store yaniambia
Link2sd have no root access
 
Back
Top Bottom