Badili kile ULICHONACHO kua UNACHOKITAKA!!!

Lizzy...nyie wanawake ni wabishi na sasa nakula bata na small house na ananipa kila nitakacho na mimi nampa huduma nzuri..wife yy kazi domo 2.
 
Nawasalim wote dadazz na kakazz bila kuwasahau wamama na wababa!!!
Natumaini jumatatu mmeianza vyema na wiki itaendelea kua nzuri.

Kama wimbo tunasikia kila siku mwanamke alivyo na nafasi kubwa katika kuharibu/jenga nyumba yake (mahusiano).Ni kweli kwamba mwanamke anaweza kubomoa nyumba yake mwenyewe...ila tukiangalia hili swala bila upendeleo, mwanaume ndiye anayemuwezesha mkewe kuwa mjenzi au mharibifu wa nyumba yao!!!

Kwa kina baba mnaodhani small house ndio suluhisho la matatizo yaliyopo majumbani mwenu hua mnakosea sana.

Visingizio vikuu ni kwamba small house hanuni.. mapokezi mazuri....sijui anapendeza...mapenzi anatoa yote...heshima na maelewano vinakuwepo n.k kinyume na maisha yalivyo nyumbani!Mnajua kwanini???Kwasababu hata mnayofanya huko ni tofauti na mnayowafanyia wake zenu!

Unakuta mtu nyumbani unaombwa pesa ya ada au matumizi tu ya kawaida unafoka kwamba huna pesa...huku kwa nyumba ndogo unalipa kodi...gari yake unaweka mafuta ....shopping unamfanyia na matatizo yake unamtatulia!
Small house hufiki kwake ukaanza kumkemea au kumkaripia na kila anachotaka unampa...sasa akasirike kitu gani?Ukifika huko unaita sweety...baby sijui darling kwa kubembeleza...ukifika kwako ni ''we mama nanii kuja hapa''....mara sijui fanya hivi fanye vile kwa ukali utadhani sio mwenzako.
Small house hakulelei watoto wala hakuaangalizii nyumba na kujali familia yako...wala hana mawazo yanayohusiana na maendeleo yenu ya kifamilia kwahiyo anakua relaxed na muda zaidi wa kujijali yeye mwenyewe ndo maana kila saa kapendeza...bila kusahau wewe unavyompendezesha kwa kumpeleka shopping bila kusahau pesa za saloon zisizoisha kuombwa!
Nwyz my point is....BADILIKA!!!
Huwezi kulalamika mtu ananuna tu muda wote kama hujampa kitu cha kufurahia....au hakupokei vizuri ikiwa mwenyewe ukifika getini tu unageuka simba...lazima nae atakua katika hali ya woga na kukosa amani!!
Kua mzuri kwa mke wako..acha kurudi nyumbani na magadhabu maana hayo ndio yanayotengeneza tension.Kua mpole na mkarimu kwa mkeo.
Acha kumkaripia na kumgombeza kama mtoto akikosea ongea nae kama mtu mzima mwenzako.
Muonyeshe upendo kama unaodhamiria kuuonyesha au tayari unauonyesha huko kwa nyumba ndogo.
Mjali ....kama unaona hajijali sana mshawishi kufanya hivyo....mpeleke shopping mwenyewe..msukume ajiweke safi na katika hali ya kuvutia.

Kina mama/dada na sisi tusijisahau jamani!!Mpe mwenzio sababu ya kuwahi nyumbani na kutaka kuwa karibu na wewe!Sio mtu akiona muda wa kazi umeisha anahema kama katwishwa mzigo...hata hamu hana!

Nawakilisha!!!

Kila anayeoa au kuolewa au kuwa katika mahusiano anapata kile alichokiona; ndio maana ni muhimu kutojificha ulivyo kabla hamjazama kwenye mahusiano ili mwenzio aweze kujua mapema kabisa ni mtu wa aina gani anaingia naye kwenye mahusiano. Kwa mfano, kama binti hapendi mtu wake anavyovaa na hasemi toka mwanzo halafu jamaa akishazama sana ndio anaanza "sipendi cheni yako, kwanini unanyoa kipara n.k" mtaanza mgongano. Kama msichana hupendi kupika mwanzoni unajifanya unapenda kupika halafu mbele ya safari unaanza "kwanini wewe mwenyewe hupiki" mtaanza mgongano!

Binafsi siamini watu wanaweza kubadilika kuwa vile ambavyo hawako; waliosema kuwa "samaki mkunje angali mbichi" walimaanisha kuwa nafasi ya kumtengeneza mtu (molding) hufanyika wakati bado tuko vijana wadogo tukipata umri fulani hatuwezi kubadilika tena na tutakuwa hivyo hivyo hadi uzeeni! - isipokuwa kwa neema ya Mungu! Nje ya neema ndio imekula kwetu. Tujifunze kuishi na vile tulivyovichagua kwani kila uchaguzi una gharama yake!
 
Lizzy una maelezo marefu sana, nakushauri uwe unajaribu kupunguza urefu wa maelezo yako kwa kuandika short and clear ili tuweze kupata muda wa kusoma na thread za watu wengine, maana sio kila mtu anaweza kukaa kusoma maelezo ya thread moja tu
Ni ushauri tu
 
Kila anayeoa au kuolewa au kuwa katika mahusiano anapata kile alichokiona; ndio maana ni muhimu kutojificha ulivyo kabla hamjazama kwenye mahusiano ili mwenzio aweze kujua mapema kabisa ni mtu wa aina gani anaingia naye kwenye mahusiano. Kwa mfano, kama binti hapendi mtu wake anavyovaa na hasemi toka mwanzo halafu jamaa akishazama sana ndio anaanza "sipendi cheni yako, kwanini unanyoa kipara n.k" mtaanza mgongano. Kama msichana hupendi kupika mwanzoni unajifanya unapenda kupika halafu mbele ya safari unaanza "kwanini wewe mwenyewe hupiki" mtaanza mgongano!

Binafsi siamini watu wanaweza kubadilika kuwa vile ambavyo hawako; waliosema kuwa "samaki mkunje angali mbichi" walimaanisha kuwa nafasi ya kumtengeneza mtu (molding) hufanyika wakati bado tuko vijana wadogo tukipata umri fulani hatuwezi kubadilika tena na tutakuwa hivyo hivyo hadi uzeeni! - isipokuwa kwa neema ya Mungu! Nje ya neema ndio imekula kwetu. Tujifunze kuishi na vile tulivyovichagua kwani kila uchaguzi una gharama yake!

Hapo kwenye red sio kweli.....wengi hua wanaonyeshwa wanachokitaka ila baadae wanagundua sicho walichokipata.Na kuhusu kutokujificha kweli ni muhimu ila wengi wetu wanaficha ukweli mpaka wanapopata uhakika kwamba wameopoa au wameopolewa.Kinachotakiwa hapo ni watu kuchunguzana kabla hawajaelezana nini wanataka.
 
Lizzy una maelezo marefu sana, nakushauri uwe unajaribu kupunguza urefu wa maelezo yako kwa kuandika short and clear ili tuweze kupata muda wa kusoma na thread za watu wengine, maana sio kila mtu anaweza kukaa kusoma maelezo ya thread moja tu
Ni ushauri tu
Heheheheh....ntafuata ushauri!!!
 
Nawasalim wote dadazz na kakazz bila kuwasahau wamama na wababa!!!
Natumaini jumatatu mmeianza vyema na wiki itaendelea kua nzuri.

Kama wimbo tunasikia kila siku mwanamke alivyo na nafasi kubwa katika kuharibu/jenga nyumba yake (mahusiano).Ni kweli kwamba mwanamke anaweza kubomoa nyumba yake mwenyewe...ila tukiangalia hili swala bila upendeleo, mwanaume ndiye anayemuwezesha mkewe kuwa mjenzi au mharibifu wa nyumba yao!!!

Kwa kina baba mnaodhani small house ndio suluhisho la matatizo yaliyopo majumbani mwenu hua mnakosea sana.

Visingizio vikuu ni kwamba small house hanuni.. mapokezi mazuri....sijui anapendeza...mapenzi anatoa yote...heshima na maelewano vinakuwepo n.k kinyume na maisha yalivyo nyumbani!Mnajua kwanini???Kwasababu hata mnayofanya huko ni tofauti na mnayowafanyia wake zenu!

Unakuta mtu nyumbani unaombwa pesa ya ada au matumizi tu ya kawaida unafoka kwamba huna pesa...huku kwa nyumba ndogo unalipa kodi...gari yake unaweka mafuta ....shopping unamfanyia na matatizo yake unamtatulia!
Small house hufiki kwake ukaanza kumkemea au kumkaripia na kila anachotaka unampa...sasa akasirike kitu gani?Ukifika huko unaita sweety...baby sijui darling kwa kubembeleza...ukifika kwako ni ''we mama nanii kuja hapa''....mara sijui fanya hivi fanye vile kwa ukali utadhani sio mwenzako.
Small house hakulelei watoto wala hakuaangalizii nyumba na kujali familia yako...wala hana mawazo yanayohusiana na maendeleo yenu ya kifamilia kwahiyo anakua relaxed na muda zaidi wa kujijali yeye mwenyewe ndo maana kila saa kapendeza...bila kusahau wewe unavyompendezesha kwa kumpeleka shopping bila kusahau pesa za saloon zisizoisha kuombwa!
Nwyz my point is....BADILIKA!!!
Huwezi kulalamika mtu ananuna tu muda wote kama hujampa kitu cha kufurahia....au hakupokei vizuri ikiwa mwenyewe ukifika getini tu unageuka simba...lazima nae atakua katika hali ya woga na kukosa amani!!
Kua mzuri kwa mke wako..acha kurudi nyumbani na magadhabu maana hayo ndio yanayotengeneza tension.Kua mpole na mkarimu kwa mkeo.
Acha kumkaripia na kumgombeza kama mtoto akikosea ongea nae kama mtu mzima mwenzako.
Muonyeshe upendo kama unaodhamiria kuuonyesha au tayari unauonyesha huko kwa nyumba ndogo.
Mjali ....kama unaona hajijali sana mshawishi kufanya hivyo....mpeleke shopping mwenyewe..msukume ajiweke safi na katika hali ya kuvutia.

Kina mama/dada na sisi tusijisahau jamani!!Mpe mwenzio sababu ya kuwahi nyumbani na kutaka kuwa karibu na wewe!Sio mtu akiona muda wa kazi umeisha anahema kama katwishwa mzigo...hata hamu hana!

Nawakilisha!!!

Hapo kwenye bold inaonyesha wewe ume-experience sana nyumba ambazo zinabomolewa kwa vyanzo kuwa wanaume, nadhani ungesema NAZUNGUMZIA WANAUME WANAVYOWAWEZESHA WAKE ZAO KUBOMOA NYUMBA ZAO badala ya ulivyoandika

Wapo wanawake ambao tamaa zao za vitu mbalimbali vya nje ya ndoa husababisha wabomoe nyumba zao wenyewe hasa pale ambapo wanaume wanakuwa wamefukuzwa kazi, au ana kipato duni tofauti na awali wakati wanaanza maisha.
So labda tugeukie kwa nyumba ambazo zinabomolewa kwa uanzilishi wa wanaume . . . .:coffee:
 
Lizzy...nyie wanawake ni wabishi na sasa nakula bata na small house na ananipa kila nitakacho na mimi nampa huduma nzuri..wife yy kazi domo 2.

Hivi small house sio wanawake ehhh????
Ungekua unamfanyia mkeo unayomfanyia small house naye angekufanyia zaidi ya unayofanyiwa na small house!!!
 
Hapo kwenye red sio kweli.....wengi hua wanaonyeshwa wanachokitaka ila baadae wanagundua sicho walichokipata.Na kuhusu kutokujificha kweli ni muhimu ila wengi wetu wanaficha ukweli mpaka wanapopata uhakika kwamba wameopoa au wameopolewa.Kinachotakiwa hapo ni watu kuchunguzana kabla hawajaelezana nini wanataka.


kweli lakini bado siamini kuwa mtu anaweza kubadilika mbele ya safari.
 
Hapo kwenye bold inaonyesha wewe ume-experience sana nyumba ambazo zinabomolewa kwa vyanzo kuwa wanaume, nadhani ungesema NAZUNGUMZIA WANAUME WANAVYOWAWEZESHA WANAUME KUBOMOA NYUMBA ZAO badala ya ulivyoandika

Wapo wanawake ambao tamaa zao za vitu mbalimbali vya nje ya ndoa husababisha wabomoe nyumba zao wenyewe hasa pale ambapo wanaume wanakuwa wamefukuzwa kazi, au ana kipato duni tofauti na awali wakati wanaanza maisha.
So labda tugeukie kwa nyumba ambazo zinabomolewa kwa uanzilishi wa wanaume . . . .:coffee:

Red and bolded....not really!!Swala la kubomoa na kujenga linazingatia factor nyingi sana...moja wapo ikiwa mmoja kumbadilisha mwenzake kwa kiasi ambacho kinaweza kuja kuinfluence mambo mengine au hata tabia yake yeye mwenyewe baadae in this case MWANAUME!!.
Hapa mwanaume anaweza kumfanya mwanamke akawa bitter ambayo baada ya muda itamfanya mwanaume awe distant and vice versa!
Kuhusu mchango wa mwanamke katika kuharibu upo na ndio maana nilimalizia kwa kuwaasa dada zangu pamoja na mimi!!
 
Wandugu mimi mnapongelea nyumba ndogo nashindwa kuelewa wanaume kuwa na nyumba ndogo ni tabia tu sio kwakuwa mwenzake ni mchafu au sijui kwenda kwa majirani mvivu hisio kweli kama ulimuoa kwa mapenzi basi uchafuwake ni asali uvivuwake ni utam tupu nayeye hawezi kwenda kwa jirani kama kuna upendo akijua sahizi jama anakuja atarudi kukungoja labda niwajuze tu mimi mkewangu bwana hafanyikazi nikiwepo home kwakuwa ni tundalangu napika napakuwa hata aje baba yangu ntapika mkewangu ataanda vinginevyo ntamsafishia nyumba na watoto wetu wanashughuli zao malum japo siwakubwa sana, tatizo sisi wabongo tunajifanya kichwa juu lakini utakuta jitu kwake simba nyumba ndoa hadi chupi badala yakufua ya mkeo unafua ya hawara looo
 
Bila kusahau...kitu muhimu sana katika harakati za kumweleza mwenzako nini hupendi na nini abadili jaribu usimwonyeshe kwamba ni lazima kufanya vile utakavyo...Present her/him with a choice to please you or not kama anakujali atachagua kukuplease!!Kumbuka sio mtoto anaetakiwa kufuata kila unachosema!!Na hamna mtu anaependa kusukumwa...be smart about it!!!Ongea nae kiutu uzima kwa utaratibu na katika hali ya kistaarabu!!
Naam this is getting better....!!

Unajua ninachoamini...., Kwamba Love is about giving.. bila hata kutegemea receiving at all...., utauliza kwanini nasema hivyo..

Binafsi I dont like anyone to sacrife anything for me..., lakini because I love her I will sacrifice things for her, the point being I would not like her to do anything she would not do otherwise for my sake.., therefore I would not like to change her, I had rather accept her differences so long as I knew she had them when we met, unaona sitapenda nipunguze hata chembe moja ya furaha yake kwasababu tu jambo hilo linifurahishe mimi, I will possible try to live around the differences badala ya kumbadilisha mtu awe ambavyo sivyo....
:popcorn::popcorn::popcorn:
 
Naam this is getting better....!!

Unajua ninachoamini...., Kwamba Love is about giving.. bila hata kutegemea receiving at all...., utauliza kwanini nasema hivyo..

Binafsi I dont like anyone to sacrife anything for me..., lakini because I love her I will sacrifice things for her, the point being I would not like her to do anything she would not do otherwise for my sake.., therefore I would not like to change her, I had rather accept her differences so long as I knew she had them when we met, unaona sitapenda nipunguze hata chembe moja ya furaha yake kwasababu tu jambo hilo linifurahishe mimi, I will possible try to live around the differences badala ya kumbadilisha mtu awe ambavyo sivyo....
:popcorn::popcorn::popcorn:

mmmhhhh 1/100......,sometimes i think you are an angel......sometimes too good to be true.....yaani i keep imagining the personality in you.....
Anyway,let me live my life.......:laugh::laugh::laugh:
 
Naam this is getting better....!!

Unajua ninachoamini...., Kwamba Love is about giving.. bila hata kutegemea receiving at all...., utauliza kwanini nasema hivyo..

Binafsi I dont like anyone to sacrife anything for me..., lakini because I love her I will sacrifice things for her, the point being I would not like her to do anything she would not do otherwise for my sake.., therefore I would not like to change her, I had rather accept her differences so long as I knew she had them when we met, unaona sitapenda nipunguze hata chembe moja ya furaha yake kwasababu tu jambo hilo linifurahishe mimi, I will possible try to live around the differences badala ya kumbadilisha mtu awe ambavyo sivyo....
:popcorn::popcorn::popcorn:

Heheheheh okeeyyy....kwa mfano ukimkuta ni mwizi utapenda aendelee???Mbea mpaka anasutwa na mtaa je?Muongo sana???
Kuna vitu na vitu bwana...na kama unavyosema wewe utaacha au utafanya vitu kwaajili yake inabidi na yeye awe na mawazo hayo hayo!!After all...you can't be the only one giving...you have to meet somewhere in the middle!!!
 
mmmhhhh 1/100......,sometimes i think you are an angel......sometimes to good to be true.....yaani i keep imagine the personality in you.....
Anyway,let me live my life.......:laugh::laugh::laugh:

Yani this bwoi right here is very IDEAL!!!
 
Yani this bwoi right here is very IDEAL!!!

Kuna wanaume wanaweza badili viapo ulivyoweka Lizzy......ntamuanzishia thread...nimjadili weeeee,kitaeleweka tu.....l.o.l
Lizzy if you are still single.....i will advise you something.....:coffee:
 
Kuna wanaume wanaweza badili viapo ulivyoweka Lizzy......ntamuanzishia thread...nimjadili weeeee,kitaeleweka tu.....l.o.l
Lizzy if you are still single.....i will advise you something.....:coffee:


Yani wala sipingi.....ndo wale wanaotoa nyoka pangoni tena sio kwa sauti ya uongo!!
Hehehehe....embu nishauri dearest!!!!:couch2:
 
Back
Top Bottom