Hio ya Kariokoo mwili imelala hapo kwa masaa zaidi ya ishirini na minne na imefunikwa sanda. Na watu wanapita tu bila kushughulika. Anayerekodi video anasema hapo ni Kariokoo. Mwanasiasa mgani wa upinzani anaweza lala chini masaa 24 bila kusonga au kuenda choo?Hizo video ulizoziona ni wanasiasa wa upinzani wanajianhusha na kujirekodi ili waichafue serikali. Corona imekwisha Tanzania na J2 tutakuwa na beach party.
Chukueni Kilimanjaro km inawezeknLakini walitunyang'anya mlima wetu.
Karibu beach party jiraniHio ya Kariokoo mwili imelala hapo kwa masaa zaidi ya ishirini na minne na imefunikwa sanda. Na watu wanapita tu bila kushughulika. Anayerekodi video anasema hapo ni Kariokoo. Mwanasiasa mgani wa upinzani anaweza lala chini masaa 24 bila kusonga au kuenda choo?
Kumbe dalili za COVID19 ni kuanguka!!?Wacha uongo. Kwenye hizo video nne nilizoona, watu wanazungumza kwa kiswahili cha kibongo. Kuna moja mtu ameanguka Kariokoo.
Nadhani sikuwa mlengwa wa post yako.kwani kuanguka watu si jambo la kawaida na lipo siku zote na mahali popote hata uko kwenu? kumbuka watu hadondoka kwa njaa, magonjwa kama kifafa na maradhi mengine sii lazima iwe korona
Sio mmoja tu fanya hivi ongeza sifuri hapo walioanguka wawe elfu moja lakini mpaka tumefunga na hatufungui mpaka uhuru aende chato kwa magoti.Wacha uongo. Kwenye hizo video nne nilizoona, watu wanazungumza kwa kiswahili cha kibongo. Kuna moja mtu ameanguka Kariokoo.
Tatizo sijui ni ujinga au uzezeta. Huwezi kuleta uhuni halafu ukaanza kushangaa watu wakirudisha mapigo. Kama huwezi kuhimili joto toka jikoni.I like your optimism My Comrade , but hawa watu huwezi kushirikiana nao..
Wana some level of low self esteem na insecurity za kishenzi ambazo huwezi kuelewa...
Naogopa nikiweka video uzi utafungwaTuma hiyo video tuone ,maana tatizo Kenya mnatumika na wazungu kwa propaganda kwa maslai yao bila kunijua huku TZ Aman kabisa tofauti hali munayotangaza huko kwenu na cjui kwanini
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa nikiweka video uzi utafungwa
Hahaha. Ndio nineona kwa hizo comments zao. Nilikuwa nahisi huruma tu juu nimeona mavideo wanaanguka sio mchezoI like your optimism My Comrade, but hawa watu huwezi kushirikiana nao. Wana some level of low self esteem na insecurity za kishenzi ambazo huwezi kuelewa.
Hahaha. Ndio nineona kwa hizo comments zao. Nilikuwa nahisi huruma tu juu nimeona mavideo wanaanguka sio mchezo