Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,813
- 59,315
- Thread starter
- #101
Only kama unataka nikatafute nyumba ndogo
Hahahaha. . ungeitikia basi kabla ya kunitahadharisha.
Basi sitorudia tena baba. . sasa hivi ni mwendo wa "Mambo baba, niaje baba, ni vipi baba, inakuwaje baba" kama vijana wa kileo.Lolz