Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,502
- 6,444
huo ni uchafu atapata magonjwa hapo aingie kwa ndoa yake akiwa na miugonjwa yake ptuuuu kuna watu wachafu jaman khaaaa party nyingine za kidwanzi
Umeongea kibusara na kwa uchungu sana!! Kama nakuona hili swala lilivyokukera