Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
Habari wakuu,ningependa kuijuia kiundani zaidi programme ambayo najiandaa kuikabili kwa miaka mitatu pale ifm yani banking and finance...kwa wajuzi wa mambo je inacover aspect zipi?? Ni kitu gani nifanye ili niweze kuimaster kwenye usomaji wake??? Na je vp IFM wenyew wana lecturers wazuri kwenye kozi hiyo....
Kwa additional informations mnaweza kunisaidia pia lifestyle ya pale chuoni, kuhusu hostel na ushauri mwingine wowote nitashukuru sana
#natanguliza shukrani
Kwa additional informations mnaweza kunisaidia pia lifestyle ya pale chuoni, kuhusu hostel na ushauri mwingine wowote nitashukuru sana
#natanguliza shukrani