Babyface..huyooooooo

Babyface..huyooooooo

du h, hii matata sana , sura kama mjusi guruguja yaa, izo make ups tu
 
Naomba kontakti zake tafadhali, nikimpata huyu ntakua nimemaliza gemu hata nikisafiri kwenda wapi najua atabaki salama dhidi ya wakware kama sosoliso na saudari

Amekaa kama amezaliwa na Mwana Magamba fulani hivi

Kama vile hajadhibitishwa na TBS.

Mie naogopa kula vitu ambavyo havina chapa ya Tbs.
CC: sosoliso na mkewe Paloma maujanja.
 
Last edited by a moderator:
'hivi akikwambia anakupa kiwanda kama cha bakhresa ili awe mkeo popote mnapoenda uwe nae uwe unamsugua kama mumewe mtakubali aisee...'
 
14803_321564264616961_575531996_n.jpg

Mh?! Huyu sio mh stella mavitunguu!
 
Hata unapokula vitu vyenye TBS ujue kuwa hauko salama!

Hata kama na vya Tbs sio salama ila najikuta sina woga wowote kwakua moyo wangu unakuwa umeridia kufanya hivyo. Si unajua nimetokea kuiamini tbs kutoka moyoni?

Ili ufurahie kitu inatakiwa moyo uridhie kufanya hivyo.
 
khaaaa Elli mchumbako huyoooo.......naye fasheni haimpiti.....naona katupia lips za niki minaji na wigi za mange!
na sijui ndo anapaka obagi kam aya wema........hii lazima iwe feki!!!
 
Last edited by a moderator:
Hio inaitwa MWENYE WIVU AJINYONGE
khaaaa Elli mchumbako huyoooo.......naye fasheni haimpiti.....naona katupia lips za niki minaji na wigi za mange!
na sijui ndo anapaka obagi kam aya wema........hii lazima iwe feki!!!
 
Back
Top Bottom