SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 364
- 810
Malaya anataka treatment ya mke๐๐๐๐
Nyie tukipendeza mkatusifia huwa mmewajibikaUnakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Kwa iyo akishakua mpenzi wako, unakua yatima?Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Naweee uache kuwa mlanguzi wa mashangazi, utaangukia kwa wajombaaaKuna wadada wapo very smart hawana time na pesa ya mwanaume...
Ila ukutane na hawa walanguzi wa mapenzi yaani ni hela hela hela tuu
Hii mentality ya wavuta shisha kizazi cha buku bese!Akili mbovu na hii mentality wanayo wote sio baadhi kwenye 100% ni 99.9 Ila 0.1 ndio wenye afadhari na hao 0.1 hawapo kabisa
Wewe taja bei yako tu maana tushajua kama unajiuzaUnakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Wajomba nao wana akili chafu kama za kwako ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Naweee uache kuwa mlanguzi wa mashangazi, utaangukia kwa wajombaaa
Mkuu this is Africa hata sheria tu za kumlinda โmama wa nyumbaniโ kwenye divorce ni kichefuchefuIn short wewe hujawahi kumanage familia.
Huwezi kumpima mwanaume kwa style hiyo bali yeye mwanaume ndio anakupima wewe,mwanaume anaishi kulingana na wewe ulivyo ukitaka kujua hilo unaweza kukuta anamwanamke mwingine anamuhudumia kweli kweliNdo tunapima kama utaajibika kunitunza utakaponioa au utanioa niende kuzeeka mapema ,Kama uchumbani uliajibika ipasavyo huko mbeleni ni raha,Kama uchumbani uliniita ombaomba huko mbeleni ni majanga
Haina shida, kwan hela zako??Unajimilikisha malaya, we unatoa hela ya service, wahuni wanakula for free.
We endelea kutunza chakula cha wote.
Nautaka na wewe unautaka wanguMbona unautaka na huutunzi?
Mwanamke kama mtoa mada kuolewa kwake ni vigumu kwasababu hakuna anachooffer kwa mwanaume mpaka atimiziwe kila kitu, kuna mahala mwanaume ukimgusa hautaji nguvu kubwa ya kumuomba mahitaji yako kuna mwanamke unaweza kukuta hana kazi yoyote but kuna maeneo anakufurahisha hasa kwenye mawazo au ushauri, sex ya maana, heshima yake ya kiwango cha HD n.kWakuu mmepaniki ๐๐
Waambie hao nakenge sisi sio baba zaoWewe bwana wako akipendeza huwa umechangia sh ngapi?. Wewe ni mlemavu au ombaomba Kila saa utake kupewa ?.Mnakera sana mbwa nyie.
Wewe hauhitaji sex?Kwa nini unataka sex na ndo hatufunga ndoa,lengo lako ni nini?
Kama hajakupenda alafu ukazaa nae uoni utakuwa ni single mamaKuzaa