"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

What comes to your mind ukisikia neno "Kazi"
Kumpeleka mkwe wangu hospital hiyo ni Kazi.
Kwamba hupati picha kama ingekuwa na mke asiyefanya Kazi?, Kwamba anafanyiwa kila kitu isipokuwa kula na kulala tu, si ndiyo?.
Kazi ni shughuli ya kudumu uliyoamua kuifanya kuendesha maisha yako...... wazungu wanaita CAREER

Kumpeleke mkwe wako hospitali sio kazi(career) ni jambo unalofanya ukiwa na nafasi tu

Sipati picha jinsi ambavyo ningekuwa na kibarua kuhudumia familia plus extended family all alone kama wife angekuwa na “career” ya ku manage family
Mke wangu anakipato kikubwa kazi kwake kuliko mimi
 
Kazi ni shughuli ya kudumu uliyoamua kuifanya kuendesha maisha yako...... wazungu wanaita CAREER

Kumpeleke mkwe wako hospitali sio kazi(career) ni jambo unalofanya ukiwa na nafasi tu

Sipati picha jinsi ambavyo ningekuwa na kibarua kuhudumia familia plus extended family all alone kama wife angekuwa na “career” ya ku manage family
Mke wangu anakipato kikubwa kazi kwake kuliko mimi
Kwamba kumpeleka mkwe wako hospital si kazi, bali jambo linalofanywa ukiwa na mda!. Ok, isipokuwa na muda nani akufanyie? au kwako wanaumwa unapokuwa na muda? Kwamba kumpeleka Mgonjwa hospitali ni unaweza kufanya ukitaka au ukaacha si ndiyo...mpaka hapo umeonesha ulivyo amateur kwenye issue za familia. Huna familia unayo iendesha wewe.
 
Kwamba kumpeleka mkwe wako hospital si kazi, bali jambo linalofanywa ukiwa na mda!. Ok, isipokuwa na muda nani akufanyie? au kwako wanaumwa unapokuwa na muda? Kwamba kumpeleka Mgonjwa hospitali ni unaweza kufanya ukitaka au ukaacha si ndiyo...mpaka hapo umeonesha ulivyo amateur kwenye issue za familia. Huna familia unayo iendesha wewe.
Mkuu hichi ulicho andika hapa kinahakisi madai ya Marehemu Mh Samweli Sita Waziri wa East Africa alipokua anajibu kwanini wawekezaji wakigeni wengi kwenye sekta ya utalii Tz na sekta zingine wameajiri Wakenya na Waganda zaidi na hawapendi kuajiri Watz

Na huu mfumo wetu wa kulipwa mshahara kwa mwezi hata kama umekwenda kazini siku mbili tu ndio unatujengea hizi tabia kwa watumishi

Siku hizi kuna ofisi unalipwa kulingana na masaa/siku uliofanya...........sasa wewe kamuuguze mkweo mwezi mzima mnakimbizana korido za hospitali ndio utajua kama kumpeleka mkweo ni career au spending

Mkuu kamuuguza mtu kwanza kabisa kunataka Hela
Ukikomaa vizuri na Career yako ukawa na hela haya mambo ya kumpeleka mgonjwa hoapitali ni mambo madogo mmno
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
sasa mwili wako unataka akuoambanie mwingine? kah! yaani hata vaa yako unataka akichangia mbona hiyo hatari sana, mbona kuna wengine wanaliwa kwa kusifiwa tu inatosha, tunajua mnapenda kusifiwa hivyo tunajitahidi tuwape sifa iwezekanavyo
 
Ndio unampeleka nyumbani kwenu ,sampuli hii eti umepata mwenzi wa maisha.Takataka.
 
Usikwepe majukumu yako kwa visingizio
Mmmh aiseee.....naomba nijue hayo majukumu ni kwamba ukiwa mke au demu tu wa kupoozea siku moja moja afu baada ya hapo kila mtu anajikataa afu unaenda kwa wana wengine nao wapoozee
 
Mkuu hichi ulicho andika hapa kinahakisi madai ya Marehemu Mh Samweli Sita Waziri wa East Africa alipokua anajibu kwanini wawekezaji wakigeni wengi kwenye sekta ya utalii Tz na sekta zingine wameajiri Wakenya na Waganda zaidi na hawapendi kuajiri Watz

Na huu mfumo wetu wa kulipwa mshahara kwa mwezi hata kama umekwenda kazini siku mbili tu ndio unatujengea hizi tabia kwa watumishi

Siku hizi kuna ofisi unalipwa kulingana na masaa/siku uliofanya...........sasa wewe kamuuguze mkweo mwezi mzima mnakimbizana korido za hospitali ndio utajua kama kumpeleka mkweo ni career au spending

Mkuu kamuuguza mtu kwanza kabisa kunataka Hela
Ukikomaa vizuri na Career yako ukawa na hela haya mambo ya kumpeleka mgonjwa hoapitali ni mambo madogo mmno
Ku manage familia ni Kazi kama Kazi zingine. Period
 
Back
Top Bottom