miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Kuhonga nacho kipaji
Aiseeeee bas mji wekeee wote
Kuhonga nacho kipaji
hahahaaaaaa.. natamani nikutane na wa hivi.. ila bado hajaumbwa
Wapo wengi tu niambie nukuunganishe
nakamata fursa bibie.. mjini hapa
Ha ha imeshafika
Hahahaha si umekubali kuitwa baby bwana ndio faida zake hizo
Jamani hiyo kauli nimetokea kuichukia na kuiogopa kwani mara
nyingi (zaidi ya 99%) nikiambiwa na mpenzi wangu na pia hata
kwa wanaume wengine wenye wapenzi wao ni kupigwa mzinga.
Sasa hivi nikiona sms ya neno hilo huwa napotezea kwa kutoijibu
kabisaaaa as if sijaisoma kutokana na kutingwa na kazi nyingi.
Tafadhali naombeni wazoefu waniambie njia nyingine ya kukabiliana
ukiulizwa swali hilo na wapenzi wetu hasa wa jinsia ya Ke
Kuhonga nacho kipaji
Ukihonga laki utaitwa dear.ukihonga laki 2..utaitwa baby..ukiwa unakata laki3.kila Mara utaanza kuitwa "hubby Ake mie"utasikia hubby Ake..njoo nyumbani tulale wote..kuna mende ameingia..namuogopaa...ama mkiwa wote ukaj.mba utasikia pole hubby...hujaumia???wizi mtupuuu
Barabara! Ila jana nimekutana na msela wangu aisee kaniambia ana madem wawili wanamhonga kwa kushindana roho imeniuma sana maana mie nahonga hadi kero! Sasa jamaa yeye anahongwa hadi milioni dah nimeumia sana mamake!
kwahiyo na wewe unataka kuhongwa