Baby nikwambie kitu?

Baby nikwambie kitu?

twafa-kali

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
251
Reaction score
211
Jamani hiyo kauli nimetokea kuichukia na kuiogopa kwani mara
nyingi (zaidi ya 99%) nikiambiwa na mpenzi wangu na pia hata
kwa wanaume wengine wenye wapenzi wao ni kupigwa mzinga.
Sasa hivi nikiona sms ya neno hilo huwa napotezea kwa kutoijibu
kabisaaaa as if sijaisoma kutokana na kutingwa na kazi nyingi.
Tafadhali naombeni wazoefu waniambie njia nyingine ya kukabiliana
ukiulizwa swali hilo na wapenzi wetu hasa wa jinsia ya Ke
 
ukishasikia nikwambie kitu?? sema usinismbie...then guess what next???
 
Hahahahha sio mtu akikuambia ivyo ataka kukupiga miziga mjomba Honey You know What?
What is it baby!
I Love you hahaha sio kila ukiambiwa ivyo kua ni kuombwa pesa heni
 
Hahahaha si umekubali kuitwa baby bwana ndio faida zake hizo
 
sio nikwambie ktu zote ni za mizing nyingne ni za kujenga. We sema nambie kama ni mznga utaamua mwenye kutoa au la kwani lazma si mnaeleweshana? Kama alikupenda kwa ajili ya miznga nawe hupend unapata justfication ya kutafta wa type yako
 
Mi hua nasema halaf akijibu niambie namwambia "nakupenda"
Msikariri tu kuombwa pesa jamaniii
 
Back
Top Bottom