Yani kiukweli nikiwa mbali na mpenzi wangu afu akiwa ananiambia maneno hayo,huwa najickia raha sana na kujihisi kama huu ulimwengu wote ni wangu.kupendwa raha sana jamani!!
unajua huwa anawaambia hayo maneno wangapi na wewe ukiwamo?au hukwambia akiwa na mchepuko ili usishituke....wewe anaambiwa hivyo wakati kuna mtu anakugegedea taratiiibu..unakula maneno mwenzako anakula nyapu safii kabisaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.