Baby come I take you to Ecstasy...

Baby come I take you to Ecstasy...

He he he, kusikia tu waishi Tanga inatia raha


Maji ya hiliki na nazi yatakuhusu kwa muda

Huo ugonjwa nitaupandikiza

Mimi mwenyewe nahamimia Kilifi......

Halafu umesahau kwamba Tanga - Mombasa sasa hivi ni mwendo wa 2hrs??

Mie siwezi kuruhusu ugonjwa kama wa teacher gfsonwin unipate...

Shahidi wangu ni Smile,

Babu DC!!!
 
@EROOOOOOTICA it is always a pleasure to see you around, usipotee sana banaaaa wengine tunaona raha kukusoma.

Have a great weekend


 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom