Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
Je, Ndugu Maleki alitoa wapi Qur”an wakati ule? Ni nani aliyempa hiyo Quran? na kwanini alimpa? kwanini walimrekodi?
Je, Serikali inafahamu kwamba aliyetoa hiyo Juzuu-Amma na kumpatia Maleki ni Muislamu ambaye na ndiye aliyekuwa akichukua hiyo video?
Tukiwa tuna hukumu upande mmoja tu, je haya matukio yataisha? Tutafukuza kazi watumishi wangapi?
Ukifuatilia matukio yote Tanzania ya kuchanwa kwa Quran, ni mabishano yanayoanzishwa na Muslims katika dhana kwamba Quran itakudhuru, je ni wangapi wamedhurika? Kama hakuna, hii inakupa jibu gnani?
Nina muelewa Magufuli alichokifanya ni sahihi kwa mujibu wa nyakati.
Lakini ifike pahala Serikali ikemee haya matukio ya Waislamu ku provoke watu kwa maneno yao ya kudhurika. Ni katika mazingira magumu sana asiyekuwa muislam aende kununua Quran na kuja kuichana.
Popote penye tukio kama hili, basi ni lazima chanzo awe Muislam. Futilia hata lile tukio la yule mtoto aliyechana Quran enzi ya Utawala wa JK. Quran ililetwa na Mtoto wa kiislam kwa mabishano kuwa atakufa, did he die?
Disemba 2019, Quran ilichanwa Tanga, tukio ambalo halijasambaa. Ni baada ya vijana wa kiislam kwenda kuomba msaada wa mchango. Kijana wa kikurya akasema hana hela, wale vijana wakampa Quran, kijana wa kikurya akasema siamini haya mambo na akaichana baada ya mabishano na hao vijana.
Dini zote hizi ni ugonjwa wa akili, na zote zimejengwa katika misingi ya Violence na Vita. Hivi kuna dini yoyote ambayo ilisimama bila kumwaga damu? And still they justify that it was right to defend their faith by bloodshed. huu ni Uwendawazimu Kabisa.
Ni ukichaa kuamini kwamba Uislam ni Dini pekee ya kweli na nyingine ni za uongo, ni uwendawazimu kuamini kwamba Christianity is the only way to Heaven, and Jesus is Lord. Ni puuzi Kuamini Kwamba Jews Are the Only Chosen people of God and others being just slave.
Hakuna huyo Mungu aliyekufanya wewe uwe kwenye dini ya kweli na mwingine kuwa dini ya uongo. Huu ni Uchizi wa Akili.
Ni Ukichaa Kuamini Kwamba the Bible or Torah Has Been Infiltrated, Kwamba Quran Has Never Been Infiltrate.
Do you know how Quran was compiled after the death of Prophet Muhammad saw? Do you know how many verses were left behind during the compilation of Quran? Do you know how many verses were denied openly during the compilation and they were true verses according to them ?
Do you know how many verses were taken from the single source? Do you know that there were two Quran Versions during the time of ‘Uthman Ibn Affan and one of the Version was burned just because it was considered as a false version?
Who knows that it was false version? And how do you know that the version you are using now is a true one? Do you know how many verses were translated from local Arabic Language into Quraysh dialect to make sense?
With these questions, it makes sense that Quran can’t be the book that has never been infiltrated.
Being in Arabic Language doesn’t make it Original.
So we have to stop this madness na hii little ego, no one is better than anyone else.
HAKUNA ANAYEDHURIKA, acheni ku provoke people na Serikali ikemee haya matendo na kukamata wote wenye ku provoke watu kwa sababu haya matukio ya uchizi wa kuamini fulani atadhurika akikojolea Kitabu kitakatifu hayatoisha tukiwa tunahukumu upande mmoja.
Hatuwezi Kutoa Maamuzi Kwa Mihemko Ya Kidini Na Kisiasa. Dini Zote Ni Imagination of the Things No One Can Tell You for Sure.
People Will Tell Their Experience Not the Truth.
The Truth Is Still a Mystery.
Thank you
Je, Serikali inafahamu kwamba aliyetoa hiyo Juzuu-Amma na kumpatia Maleki ni Muislamu ambaye na ndiye aliyekuwa akichukua hiyo video?
Tukiwa tuna hukumu upande mmoja tu, je haya matukio yataisha? Tutafukuza kazi watumishi wangapi?
Ukifuatilia matukio yote Tanzania ya kuchanwa kwa Quran, ni mabishano yanayoanzishwa na Muslims katika dhana kwamba Quran itakudhuru, je ni wangapi wamedhurika? Kama hakuna, hii inakupa jibu gnani?
Nina muelewa Magufuli alichokifanya ni sahihi kwa mujibu wa nyakati.
Lakini ifike pahala Serikali ikemee haya matukio ya Waislamu ku provoke watu kwa maneno yao ya kudhurika. Ni katika mazingira magumu sana asiyekuwa muislam aende kununua Quran na kuja kuichana.
Popote penye tukio kama hili, basi ni lazima chanzo awe Muislam. Futilia hata lile tukio la yule mtoto aliyechana Quran enzi ya Utawala wa JK. Quran ililetwa na Mtoto wa kiislam kwa mabishano kuwa atakufa, did he die?
Disemba 2019, Quran ilichanwa Tanga, tukio ambalo halijasambaa. Ni baada ya vijana wa kiislam kwenda kuomba msaada wa mchango. Kijana wa kikurya akasema hana hela, wale vijana wakampa Quran, kijana wa kikurya akasema siamini haya mambo na akaichana baada ya mabishano na hao vijana.
Dini zote hizi ni ugonjwa wa akili, na zote zimejengwa katika misingi ya Violence na Vita. Hivi kuna dini yoyote ambayo ilisimama bila kumwaga damu? And still they justify that it was right to defend their faith by bloodshed. huu ni Uwendawazimu Kabisa.
Ni ukichaa kuamini kwamba Uislam ni Dini pekee ya kweli na nyingine ni za uongo, ni uwendawazimu kuamini kwamba Christianity is the only way to Heaven, and Jesus is Lord. Ni puuzi Kuamini Kwamba Jews Are the Only Chosen people of God and others being just slave.
Hakuna huyo Mungu aliyekufanya wewe uwe kwenye dini ya kweli na mwingine kuwa dini ya uongo. Huu ni Uchizi wa Akili.
Ni Ukichaa Kuamini Kwamba the Bible or Torah Has Been Infiltrated, Kwamba Quran Has Never Been Infiltrate.
Do you know how Quran was compiled after the death of Prophet Muhammad saw? Do you know how many verses were left behind during the compilation of Quran? Do you know how many verses were denied openly during the compilation and they were true verses according to them ?
Do you know how many verses were taken from the single source? Do you know that there were two Quran Versions during the time of ‘Uthman Ibn Affan and one of the Version was burned just because it was considered as a false version?
Who knows that it was false version? And how do you know that the version you are using now is a true one? Do you know how many verses were translated from local Arabic Language into Quraysh dialect to make sense?
With these questions, it makes sense that Quran can’t be the book that has never been infiltrated.
Being in Arabic Language doesn’t make it Original.
So we have to stop this madness na hii little ego, no one is better than anyone else.
HAKUNA ANAYEDHURIKA, acheni ku provoke people na Serikali ikemee haya matendo na kukamata wote wenye ku provoke watu kwa sababu haya matukio ya uchizi wa kuamini fulani atadhurika akikojolea Kitabu kitakatifu hayatoisha tukiwa tunahukumu upande mmoja.
Hatuwezi Kutoa Maamuzi Kwa Mihemko Ya Kidini Na Kisiasa. Dini Zote Ni Imagination of the Things No One Can Tell You for Sure.
People Will Tell Their Experience Not the Truth.
The Truth Is Still a Mystery.
Thank you