amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
Imagine, Babu wa Loliondo akapotea ghafla na kwenda kusikojulikana na kuacha ujumbe kwamba "Nimegundua hiyo dawa ni sumu ambayo huua baada ya miezi 6 maana wanangu 3 wamekufa kwa mkupuo, kwa kuwa wao ndio walianza kunywa kwa majaribio, nimeamua kutoweka kuogopa kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali" Je, nini kitatokea ndani na nje ya Tanzania?