Babu VS Dowans VS JKL !

Cestus

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
987
131
du nan yupo juu ss hv? Mtaan hakuna cha simba wala yanga,chdm wala ccm,arsnl wala man..ni babu 2! Watu washasahau had mfumuko wa bei! Mgao wa umeme....kunani?
 
Babu kafunika, hata mandamano ya chadema yatafika ikulu, hakuna mtu wa kuyarudisha wakuu wote na ngunguli wote wapo loliondo kwenye foleni.
Habanduki mtu hadi kieleweke
 
Usifanye utani, watu wanaumwa. Bahati mbaya ni vigumu kulinganisha ulivyo vitaja, ila ktk mazungumzo ya kawaida Babu yuko juu kwa sasa,kwa sababu wajanja/werevu/wasomi/mabingwa yaani kila tabaka liko kwa babu, kwa namna moja ua nyingine.

Hata sisi tuliomtandaoni sasa na kujadili hii maada tuko kwa babu, si umeona hata Jenerali na yule polisi mkubwa wa zamani naye kwa babu!!!!
 
nan kakwambia natania? Mi najiuliza 7bu wa2 hawajadil tena vi2 vya kusukuma gurudumu la uchum mbele!
 
wabongo ndio tulivyo....tunapenda cheap talks.....kuongea na kupata vya dezooo...ila kwenye kuchapa kazi za ukweli kwishiney
 
@makando yep thats true...na kuna thread moja nimeona inasema walokunywa dawa washaanza kuvimba tumbo!
 
Back
Top Bottom