du nan yupo juu ss hv? Mtaan hakuna cha simba wala yanga,chdm wala ccm,arsnl wala man..ni babu 2! Watu washasahau had mfumuko wa bei! Mgao wa umeme....kunani?
Babu kafunika, hata mandamano ya chadema yatafika ikulu, hakuna mtu wa kuyarudisha wakuu wote na ngunguli wote wapo loliondo kwenye foleni.
Habanduki mtu hadi kieleweke
Usifanye utani, watu wanaumwa. Bahati mbaya ni vigumu kulinganisha ulivyo vitaja, ila ktk mazungumzo ya kawaida Babu yuko juu kwa sasa,kwa sababu wajanja/werevu/wasomi/mabingwa yaani kila tabaka liko kwa babu, kwa namna moja ua nyingine.
Hata sisi tuliomtandaoni sasa na kujadili hii maada tuko kwa babu, si umeona hata Jenerali na yule polisi mkubwa wa zamani naye kwa babu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.