Babu Tale na Mkubwa Fela wanyonyaji

Babu Tale na Mkubwa Fela wanyonyaji

Ilikuwa Clouds sasa Babu Tale!!
Mwana FA aliwahi kusema badala ya kutumia nguvu nyingi kututajia wanaotunyonya nyie tutajieni wasiotunyonya tuwafate lakin wawe na viwango bora vya kazi kama vya wanyonyaji.
Hili ndio jibu la Uzi wote.
 
Leo Diamond ana kwake Tegeta Madale, gari sijui BMW X6 , mwanzoni alikuwa amepanga Sinza alikuwa Na Land Cruiser Prado, kafungua Studio yake Sinza Mori.

Yamoto Band bado ni wadogo kisanaa, Lakini ebu linganisha wasanii wenye umri mdogo waliowahi kupata umaarufu na vitega uchumi walivyonavyo. Dogo Amidu, Young D, Mr Blu, Dogo Janja Na wengine nini walipata?
 
Daaah sioni kosa la tale na fella mana hata wao pia wapo kibiashara, na 90% ya wasanii wanao wamanage wanawatoa from nothing to something ko sioni shida hapo, ila katka haya mambo ukikosa nidhamu bs wanakubwaga, ni dgo janja peke yake ndo amevumiliwa kwa kiwango kilicho zidi sijui kwa nin.
 
Leo Diamond ana kwake Tegeta Madale, gari sijui BMW X6 , mwanzoni alikuwa amepanga Sinza alikuwa Na Land Cruiser Prado, kafungua Studio yake Sinza Mori.

Yamoto Band bado ni wadogo kisanaa, Lakini ebu linganisha wasanii wenye umri mdogo waliowahi kupata umaarufu na vitega uchumi walivyonavyo. Dogo Amidu, Young D, Mr Blu, Dogo Janja Na wengine nini walipata?
Mkuu hongera sana kwa kufuatiria wasanii wetu ukweli utabaki palepale Mkubwa na wanawe big up Babutale kazi tu, kazeni buti vijana wetu wana wahitaji msife moyo. Wenye akili hatuambiwi tazama. Hongera Mondi na and your co.
 
Nimejaribu kufuatilia interview za utambulisho wa wasanii wa walio chini ya Babu tale na mkubwa Fela nimegundua hawa jamaa wanyonyaji sana na wanaishi na wasanii chipukizi kwa kuwatia hofu ili waone bila wao hakuna future ya mziki wao.nimeshangaa kuona Babu Tale akihojiwa na EFM na kusema mpaka leo Diamond anamwamkia .sijajua connection ya kumwamkia na mafanikio ya Diamond.kweli hawa watu wawili ni adui wakubwa sana wa mziki wa vijana wa kitanzania .sasa nimeelewa kwa nini Kiroboto a.k.a Juma nature aliamua kuaachana na hawa kupe.
Ila kiroboto nae baada ya kuachana nao si unaona mwendo wake? Anatembea na kidumu cha mafuta, speedometer haisomi!

Ila pia kuna Ostaz Juma na Musoma na Chief Kiumbe, wamewashinda madogo kisaikolojia na kuwatawala.
 
Au wanatawala nyota zao?@mshana jr njoo babu utusaidie.
 
Unajua kila mchezaji ana aina yake ya uchezaji. Sasa Tale Na Fela ndio aina yao. Ukija Na chenga chenga zako unapigwa buti na refa anapeta. Shauri yako kijana kama umekataliwa kujiunga WCB au Mkubwa Na Wanawe usilete mhemuko hapa.
 
Back
Top Bottom