Utasindikizwa na Swalehe?mimi leo mchana
tega sikio
Yeye na Theodore hawakosi leoMimi leo mchana
tega sikio
Anakwenda kuwatetea wana Mkuyuni. Wewe hautaki million 250 kiinua mgongo kwa miaka 5 tu? Wakati Mwalimu anasotea million 70 kwa miaka 40 ya utumishi.Huu ni utamaduni mmbaya sana tulio nao Tanzania, mtu anaanzisha rumours ambazo hazina ukweli wowote halafu unakuta watu wanasimbaza na kuaribu reputation ya mtu kwa upuuzi unaoanza kama mzaha.
Babutale bungeni ata sijui anaenda tafuta nini lakini si sahihi kuusisha kifo cha mkewe na harakati za kutafuta maisha yake.
That is very wrong kwa mtu makini.
Hakuna asietaka hila kwa fujo hizo za wagombea 30+ bora tutafute mbinu zingine tu za kupata mkate hakuna namna.Anakwenda kuwatetea wana Mkuyuni. Wewe hautaki million 250 kiinua mgongo kwa miaka 5 tu?Wakati mwalimu anasotea million 70 kwa miaka 40 ya utumishi.
Huko makete kuuwa mtoto, mzazi, mke au mume kwa ajili ya utajiri au cheo ni jambo la kawaida sana!Huu ni utamaduni mmbaya sana tulio nao Tanzania, mtu anaanzisha rumours ambazo hazina ukweli wowote halafu unakuta watu wanasimbaza na kuaribu reputation ya mtu kwa upuuzi unaoanza kama mzaha.
Babutale bungeni ata sijui anaenda tafuta nini lakini si sahihi kuusisha kifo cha mkewe na harakati za kutafuta maisha yake.
That is very wrong kwa mtu makini.
unaweza kuleta ushahidi wa kauli yako hii ?R.I.P Shamsa. This costed your life.
Inashangaza sana binadamu wanapenda kuzusha mambo, halafu watu wanakubali bila ata kudai ushahidiHuu ni utamaduni mmbaya sana tulio nao Tanzania, mtu anaanzisha rumours ambazo hazina ukweli wowote halafu unakuta watu wanasimbaza na kuaribu reputation ya mtu kwa upuuzi unaoanza kama mzaha.
Babutale bungeni ata sijui anaenda tafuta nini lakini si sahihi kuusisha kifo cha mkewe na harakati za kutafuta maisha yake.
That is very wrong kwa mtu makini.
Mkewe kafia hospitali na medical condition ambayo wahusika awajaamua kuiweka wazi.Huko makete kuuwa mtoto, mzazi, mke au mume kwa ajili ya utajiri au cheo ni jambo la kawaida sana!
Sehemu ambayo ignorance is high that is normal uwezi zuia ndio maana ata Tale nae anaendelea na maisha yake.Inashangaza sana binadamu wanapenda kuzusha mambo , halafu watu wanakubali bila ata kudai ushahidi