at least amepata moja ya mia kwa mara ya kwanza kuungana na mkristu kwa chochoteKwa hiyo ID yako sishangai uliyoyaandika!
Always nonsense!
MAJIMSHINDO!,ni vema kama wewe utakaa na hiyo imani yako,na pia waache wenzio wamuaminio babu na tiba yake wawe huru na imani yao.HESHIMA kwa imani za wenzio ni msingi bora katika maisha ya dunia hii tupitayo.
Rostam naye tumuache na imani yake ya kifisadi na wote tusubiri hukumu yetu itakapofika kila mtu kwa yale aliyotenda.
Mpaka leo sijaona ushahidi wowote wa Daktari na mgonjwa wake, kuwa huyu nilikuwa na mtibu UKIMWI au Kisukari, kabla ya kwenda kwa babu vipimo vyake hivi hapa na baada ya kwenda kwa babu vipimo ni hivi hapa, Negative. Na baada ya miezi mitatu bila kutumia dawa za hospital bado negative, baada ya miezi sita bado negative, baada ya mwaka bado negative.
Nikipata hizo data, ndio ntamuamini na kumuunga mkono amteteae babu. Kwa sasa namuunga Mkono RA na mimi nasema ni kiini macho tu.
Nawe ukae na imani yako, yangu kuhusu babu nimeiweka wazi hapo juu.
Na huo unaosema ufisadi wa RA sijauona ushahidi mpaka leo, naona porojo tu. Jee, unao ushahidi utujuze humu JF. Au kama unao wa ukweli kwa nini usimshitaki?
Nawe ukae na imani yako, yangu kuhusu babu nimeiweka wazi hapo juu.
Na huo unaosema ufisadi wa RA sijauona ushahidi mpaka leo, naona porojo tu. Jee, unao ushahidi utujuze humu JF. Au kama unao wa ukweli kwa nini usimshitaki?
Husomi magazeti wewe ndo ungejua. Mgonjwa wake wa kwanza alitoa ushuhuda na daktari wake pale Wasso alielezea kushangazwa na kuongezeka kwa CD4 za mgonjwa wake ndo ikabidi wamuulize siri yake.
Nilichosikia ni kuwa babu amewaambia wagonjwa wakienda kwake wasiache kubeba dawa zao watakazokuwa wakitumia wakati wanasubiri tiba yake
MAJIMSHINDO!,ni vema kama wewe utakaa na hiyo imani yako,na pia waache wenzio wamuaminio babu na tiba yake wawe huru na imani yao.HESHIMA kwa imani za wenzio ni msingi bora katika maisha ya dunia hii tupitayo.
Rostam naye tumuache na imani yake ya kifisadi na wote tusubiri hukumu yetu itakapofika kila mtu kwa yale aliyotenda.
nawe uwaache wanaoamini kuwa babu ni tapeli SAWA?
Halafu tubandikie hapa ufisadi alofanya ROSTAM usilete longolongo.