Babu Duni aonekana Zanzibar

Jamani Ukawa wekeni picha ya Babu Duni akiwa katika kampeni. Maana mnarudia picha za Lindi tu!
 
Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.

Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.

Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa

Wewe ni sawa na kibonzo duni anendelea na kampeini na jana tulikuwa naye rufiji
 
We lofa babu Duni Jana alikua Rufiji na M/kiti Chadema Zanzibar na kulikua na umati mkubwa, sasa propaganda zenu ni za nini?

Mkuu hayo ma lumumba ni sawa na mfamaji maana hali kwao ni tete
 
Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.

Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.

Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa

Kachukua rikizo ya bila malipo
 
We lofa babu Duni Jana alikua Rufiji na M/kiti Chadema Zanzibar na kulikua na umati mkubwa, sasa propaganda zenu ni za nini?

NILIKUA NAMSTAJABU SHETANI MWEUSI , MAAANA JANA BABU DUNI ALIKUA RUFIJI AKIZUNGUMZIA MJI ULIO ASISIWA NA WAJERUMANI NA CCM KUUTEREKEZA, MKUU WA WILAYA HIYO KUJIFANYA MUNGU MTU KWA KUNYANYASA RAIA PAMOJA NA KUHODHI MADAWATI KWA AJIRILI YA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI, MGOMBEA UBUNGO JIMBO LA RUFIJI ALISEMA ATAMUOMBA MH RAIS EDWARD LOWASA KUMPENDELEA UKUU WA WILAYA ILI WAMTOE FIKRA ZAKE MGANDO ZA KUTAKA WANANCHI WAMTUMIKIE BADALA LA YY KUWATUMIKIA WANARUFIJI
Halafu MBURU.LA HUYU ANASEMA KAONEKANA ZANZIBAR KWELI CCM MNASIASA NYEPESI SAAANA
 
NILIKUA NAMSTAJABU SHETANI MWEUSI , MAAANA JANA BABU DUNI ALIKUA RUFIJI AKIZUNGUMZIA MJI ULIO ASISIWA NA WAJERUMANI NA CCM KUUTEREKEZA, MKUU WA WILAYA HIYO KUJIFANYA MUNGU MTU KWA KUNYANYASA RAIA PAMOJA NA KUHODHI MADAWATI KWA AJIRILI YA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI, MGOMBEA UBUNGO JIMBO LA RUFIJI ALISEMA ATAMUOMBA MH RAIS EDWARD LOWASA KUMPENDELEA UKUU WA WILAYA ILI WAMTOE FIKRA ZAKE MGANDO ZA KUTAKA WANANCHI WAMTUMIKIE BADALA LA YY KUWATUMIKIA WANARUFIJI
Halafu MBURU.LA HUYU ANASEMA KAONEKANA ZANZIBAR KWELI CCM MNASIASA NYEPESI SAAANA
Tumsamehe bure mkuu! Maana hata TWAWEZA walikiri kua CCM inaungwa mkono na wajinga wengi, yaani wasiosoma! Kwahiyo kubali kua ndani ya CCM kuna wajinga kibao, huenda naye ni mjinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom