wepson
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 831
- 219
well said mkuu maana nilikua nastajabu . Ndio yale nilisema kabla mtu hujaandika kitu weka katika fikra zao kua unaowaandikia ujumbe huonwanajua zaidi yako mara zote huta pata challenge ila ukiandika kishabiki utaishia kuaibika kama yy si kundi la ccm wajinga ajitokeze atetee uzi wake wa kitoto huotumsamehe bure mkuu! Maana hata twaweza walikiri kua ccm inaungwa mkono na wajinga wengi, yaani wasiosoma! Kwahiyo kubali kua ndani ya ccm kuna wajinga kibao, huenda naye ni mjinga.
loo, halafu lumumba mbona wana vijana liability sana maana kama wanafanya siasa nyepesi kama hizi basi wamepoteza