gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,277
- 17,749
Ushawishi kwa nani?All in all ushawishi wa huyo mgombea wenu still ni mdogo mno
Ushawishi kwa nani?All in all ushawishi wa huyo mgombea wenu still ni mdogo mno
Kwa kuwa hufurahishwi na mrengo wa mleta madaWiki hii kumekuwa na member wajinga wengi Sana jamiiforum.... Hawa vijana sio riziki kabisaa
Soma comment namba 25 siyo kikwete kweliCode Inflitration..
Babu Ayubu= Job Ndugai
Kilichomfanya atake kuimeza zanzibar ni hofu ya dini tu,ukiacha hofu za mabeberu (wenye muungano) kuhofia zanzibar kuwa Cuba ya afrika masharikiKati ya kitu Nyerere alikosea ni kujiunga na Zanzibar
Wewe ndiyo unakosea sana, kuna sisi moderate yaani watu wakati, mguu upande, unafikiri kudharau watu wa Tanganyika tunafurahi? Una akili kidogo sana, wewe endelea tu kubwabwaja eti nyie waZanzibar. Mko wangapi huo mkoa?Na Bado! Oktoba tunanayo!
Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!
DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Hapana ni YustSoma comment namba 25 siyo kikwete kweli
Naona umemKanyaga bandama uliona bado anapumua huyo,Nimezingatia zaidi..."yamempanda"..!Atakuwa hata kupumua hawezi.
Je wajua hao waliomgeuka imekuwaje wamgeuke bila ninyi kuji'tune'?Tutajuaje...Tusubir tuone kesi.Na Bado! Oktoba tunanayo!
Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!
DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Je wajua hao waliomgeuka imekuwaje wamgeuke bila ninyi kuji'tune'?Tutajuaje...Tusubir tuone kesi.
Kuhusu 'walugaluga' incase elimu yako ni ndogo..Walugaluga walikuwa 'wanajeshi hatari wa kuogopwa na waliwapiga wajerumani--wanajeshi hawa walikuwa wa mtemi Milambo na hata MKWAWA aliwakodi'.Get your facts right.
Chomoa hicho ulichokalia kwanzaNa Bado! Oktoba tunanayo!
Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!
DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Safi kabisaKajifunze kuandika kwanza wewe kenge ndio uje ujaze hizi pumba zako hapa jf
Hana ushawishi huyuJob ndugai
Nashangaa kutajwatajwa,ana nini khasa!?Hana ushawishi huyu
.October huyu Babu yenu atakuwa kitandani