Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,835
- 99,797
Kumbe mwenye barua anajua?Kumuandikia sms ya siri kwenye "radio call" yake ulishindwa nini?Mwenye barua yake ajua. Wee umbeya tuu
Kumbe mwenye barua anajua?Kumuandikia sms ya siri kwenye "radio call" yake ulishindwa nini?Mwenye barua yake ajua. Wee umbeya tuu
Kumbe mwenye barua anajua?Kumuandikia sms ya siri kwenye "radio call" yake ulishindwa nini?
Wewe ni Ke Au Me..Na bado. Wambeya mtakoma round hii walahi
Spuka mstaafu mzee Jobo maji ya shingo yamemfika, itakuwa alitaka kutema cheche kama za slow slow
Wewe ni Ke Au Me..
Mimi ni mzanzibar pure ila Siwezi andika Kama Ulivyoandika..
Kuna jirani mmoja alikuwa akinywa coca cola analewa chakari.Nduguze walikuwa wakichelewa kumkimbizia ndani,kumfunga kamba na kumlazimisha alale walikuta mara nyingi kabakwa na wahuni.Huyu naye wa kuwahiwa.Wewe ni Ke Au Me..
Mimi ni mzanzibar pure ila Siwezi andika Kama Ulivyoandika..
Na badoAll in all ushawishi wa huyo mgombea wenu still ni mdogo mno
Samia mwisho wake ni huu , Hana namna nyingine ya kumsaidia kuuvuka Huu mwaka .Na Bado! Oktoba tunanayo!
Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!
DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Ayub= Job?(Gang master) Au tujuzeni siye vichwa panzi!,yarabBabu ayubu kazoea walugaluga kutoka bara. Round hii kakutana na mkono wa mama na bado hajasema
Hautaamin kinachoenda mpata Mtekaji Mkuu SamiamOctober huyu Babu yenu atakuwa kitandani
Hautaamin kinachoenda mpata Mtekaji Mkuu Samiam
Wiki hii kumekuwa na member wajinga wengi Sana jamiiforum.... Hawa vijana sio riziki kabisaa
Mtekaji ni Samia na genge lakeMtekaji anajulikana
Umenikumbusha infiltratorCode Inflitration..
Babu Ayubu= Job Ndugai
Job ndugaiBabu ayubu ndio nani
Ambaye ni nani, sisi wengine hatutaki kuumiza vichwa sanaOctober huyu Babu yenu atakuwa kitandani