Babu Ayubu wenu ametema bungo na bado

Babu Ayubu wenu ametema bungo na bado

October 2pm

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2023
Posts
1,124
Reaction score
1,983
Na Bado! Oktoba tunanayo!

Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!

DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
 
Na Bado! Oktoba tunanayo!

Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!

DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Kajifunze kuandika kwanza wewe kenge ndio uje ujaze hizi pumba zako hapa jf
 
Na Bado! Oktoba tunanayo!

Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!

DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Babu ayubu ndio nani
 
Na Bado! Oktoba tunanayo!

Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!

DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Mmi ni ccm mbona huwa unaandika useng£
 
Back
Top Bottom