October 2pm
JF-Expert Member
- May 2, 2023
- 1,124
- 1,983
Na Bado! Oktoba tunanayo!
Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!
DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...
Mlimuamini Babu Ayubu kama komandoo, kiko wapi lelo? Mwadhani yeye tu ndo ajua kucheza mashoati? Haya kimemramba! Alizowea kuwatia mjini kwa madevu, nyinyi walugaluga mkadhani mtu wa visiwani hatuwezi? Mshatufahamu sasa, sisi ndiyo tumesimama kwenye usukani. Apigie simu maswahiba wake wamemgeuka! Tumebonyeza kitufe kimoja tu, kazua mayowe. Ehee! Je tukibonyeza matunzi yake? Halaa!
DJ wawekee wimbo wa Kapteni Komba, Mmeyataka wenyewe ndindi...