Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Islam is complete from All angles. pinpoint any angle that you need explanations.
Hayo ni maoni yako kutokana na Imani yako!
Islam is complete from All angles. pinpoint any angle that you need explanations.
Watu huacha uovu huyo.yeye hulipwa kwa alichotenda.
Mama yako akiuwawa,Aliyemuuwa tunamuuwa.
Adhabu za fimbo ni kwa makosa madogo.
kulawiti ni kosa kubwa
Ni kutokana na kufikiri kwa Akili yangu siwezi amini vitu vyenye mapungufu.Imani yangu ikiwa na mapungufu I sweat to you naipiga chini sasa ivi.bora niwe mpagani
Ndio Mkuu.
theory za punishment zipo.
mnapotoa adhabu ya kifo kwa mfano cha uzinzi? mnauhakika gani kuwa kati yenu hakuna wazinzi wa siri ambao hamwajui?. mfano gadafi amekuja kujulikana alikuwa mbakaji mzuri sana kwa visichana mabikira hadi kitanda cha kuwachunguza wanawake kama wanamagonjwa ya zinaa alikiweka kabla hajawaingilia.na ajabu alikuwa mhamasishaji sana wa wazungu wawe waislamu. alikuwaanajulikana anawalinzi mabikira. pia alijulikana kwa kuwa na walinzi wanawake.Islam is complete from All angles. pinpoint any angle that you need explanations.
Mkuu swali moja moja.
Mzizi ambaye hajoa ni fimbo 100
alieo ni kifo.
ushahidi ni watu wanne.sio mtu mmoja.wazinzi wa siri nakubali wapo wengi na hao ndio sheria imewalenga zaidi .kwasababu anaezini hadharani barabarani amerahisisha sheria.
Mkuu hizo ni sheria za Mungu anazotaka wanadamu waishi kwazo
Mkuu hizo ni sheria za Mungu anazotaka wanadamu waishi kwazo
so it is simple kuwa hakuna tofauti kati ya dini yako na serikali za kidunia kwakuwa haki haipatikani, mpaka mashahidi watimie wanne watimie sio? na huu ndio ukamilifu wa kiroho sio?Mkuu swali moja moja.
Mzizi ambaye hajoa ni fimbo 100
alieo ni kifo.
ushahidi ni watu wanne.sio mtu mmoja.wazinzi wa siri nakubali wapo wengi na hao ndio sheria imewalenga zaidi .kwasababu anaezini hadharani barabarani amerahisisha sheria.
so it is simple kuwa hakuna tofauti kati ya dini yako na serikali za kidunia kwakuwa haki haipatikani, mpaka mashahidi watimie wanne watimie sio? na huu ndio ukamilifu wa kiroho sio?
kwahiyo wabakaji wanakuwa hawajabakwa na mtuhumiwa anakuwa safi mbele zenu na mungu wenu kwakuwa mashahidi hawajafikia wanne , istoshe hata kama wangekuwa dini yako ingetaka mashahidi watatu wawili, mmoja lakinibado Allah nae hajaona na hasemi kitu. hivyo ushahidi chini ya hapo ni kumsingizia mtuhumiwa.
tukirudi ya gadafi:
kwahiyo gadafi amerehemiwa na mungu wake, kwakuwa hakuna shahidi aliyesimama dhidi yake mbele ya wabwakaji (victims).
(i suppose;pengine mashahidi waliogopa kuuwawa na gadafi ikiwa watasimama kutoa ushahidi kuhusu matendo yake) hivyo basi wabwakaji(victims) wanakosa haki kwakuwa si mungu wala mwanadamu anayesimama upande wao.
NB; hivyo nimejifunza kuwa kwa dini yako, dawa ya kuwa mtakatifu duniani ni kufanya uovu kwa siri sana na kuhakikisha hakuna ajuaye au hata akijua wasizidi idadi ya mashahidi wanne. hapo utahesabiwa sawa na wale wenye haki. This is how complete religion really is.!!!
it sound like it is complete unfair for victims just like any a other ordinary court.
Samaki mmoja akioza mchomoe tupa kule asisababishe wengine kuharibika
kama unadhani hakuna utofauti kwanini mahakama zisiwe za kidini.?
Umegusa sehemu mmoja tu ya ushahidi vp kuhusu hukumu.mfano sheria za kibinadamu kwa mlawiti ni kufungwa. za kiislam ni kuuwawa utofauti ni mkubwa sana.
Inamaana watoto wanaolawitiwa Mungu hawaoni.Ndio imani yetu imetuthibitishia kiama kipo na waovu wote motoni milele.Iweje sehemu mahakama za kiislam zinapohukumu kifo mnapiga kelele haki za binaadamu.
Mfano sheria ya kiislam ya kukata wizi mikono kwa Tanzania haiwezi kutendwa kwa sababu watu wake ni maskini.sheria hii inatumika tu kwa maeneo amboyo watu wake ni wenye uwezo wa kiuchumi.Cause mtu anaweza kuiba sababu ya njaa
kwa Gadafi. viongozi wangapi madhalimu wamepita katika dunia hii.Purukushani za mussa na Faraoh wazifahamu.unajua ni kwanini Mungu hutupa simulizi za zamani katika vitabu vyake.Gadafi hakua kiongozi katika nchi inayoongozwa kwa sheria za kiislam japo nchi imejaa waislam.je mwisho wake umeuona.Kiongozi dhalimu mwisho wake si mwema.Ni story ngapi za dhulma zilizotajwa na Mungu katika vitabu Vyake.
Hiyo NB yako ni kujitoa akili kwako kwani jibu nimeliweka .hili limenisikitisha kwani kama lengo lako ni kutengeneza fitna za mdomoni wewe si wakujifunza.
Je dunia hii si ya kuongozwa na sheria za Mungu
Rafiki yng kahtaan Mimi sipindishi mada! Niko pale pale!
Labda niseme tu ukristo na Imani yako ni vitu viwili tofauti kabisa! Kwahiyo usilinganishe Imani yako na ukristo! Au Yale yaliyomo ktk Imani yako ukafikiri na ukristo Uko hivyo!
Acheni kumung'unya maneno Kichwa habari kilistahili kuwa KASISI WA KIKATOLIKI AKIRI KULAWITI WATOTO WA KIUME![]()
kasisi mstaafu Francis Paul Cullen, Kasisi mmoja wa kanisa katoliki mwenye umri wa miaka 85 amekiri kosa la kulawiti watoto wengi pamoja na kuwatendea unyama watoto wengine wasichana baada ya kufukuzwa kutoka katika kisiwa cha Tenerife nchini Uhispania.
Katika kesi iliyokuwa inasikilizwa leo katika mahakama mjini London kasisi huyo, kwa jina Francis Paul Cullen, alikiri makosa 21 ya kuwatendea uchafu watoto saba. Vitendo cha kuwalawiti watoto wavulana na kuwatendea unyama wasichana, vilitokea kayi ya mwaka 1957 na 1991.
Msemaji wa dayosisi ya Nottingham mjini Uingereza kasisi Andrew Cole alisema kuwa amefurahi kwa kasisi huyo kukiri makosa dhidi yake. Kasisi Cole alisema kuwa hakuna kinachoweza kuondoa masaibu yaliyowatokea watoto lakini kasisi Cole alisema anatumai kuwa hii itawasaidia kwa njia moja au nyingine.
Cullen atahukumiwa tarehe 24 mwezi Machi. Alifanya kazi kama kasisi katika dayosisi Mackworth parish ya Christ the King katika mtaa wa Derbyshire kati ya mwaka 1960 na 1978.
Alihamia katika kanisa ya Buxton kuanzia mwaka1978-87 na kanisa nyingine ya Hyson Green,kati ya mwaka 1988-91. Alistaafu Septemba mwaka 1991.
source BBC SWAHILI Leo 24/2/2014.
Kwa hiyo unatuambia kuwa Ukristo unaruhusu kulawitiana?
so it is simple kuwa hakuna tofauti kati ya dini yako na serikali za kidunia kwakuwa haki haipatikani, mpaka mashahidi watimie wanne watimie sio? na huu ndio ukamilifu wa kiroho sio?
kwahiyo wabakaji wanakuwa hawajabakwa na mtuhumiwa anakuwa safi mbele zenu na mungu wenu kwakuwa mashahidi hawajafikia wanne , istoshe hata kama wangekuwa dini yako ingetaka mashahidi watatu wawili, mmoja lakinibado Allah nae hajaona na hasemi kitu. hivyo ushahidi chini ya hapo ni kumsingizia mtuhumiwa.
tukirudi ya gadafi:
kwahiyo gadafi amerehemiwa na mungu wake, kwakuwa hakuna shahidi aliyesimama dhidi yake mbele ya wabwakaji (victims).
(i suppose;pengine mashahidi waliogopa kuuwawa na gadafi ikiwa watasimama kutoa ushahidi kuhusu matendo yake) hivyo basi wabwakaji(victims) wanakosa haki kwakuwa si mungu wala mwanadamu anayesimama upande wao.
NB; hivyo nimejifunza kuwa kwa dini yako, dawa ya kuwa mtakatifu duniani ni kufanya uovu kwa siri sana na kuhakikisha hakuna ajuaye au hata akijua wasizidi idadi ya mashahidi wanne. hapo utahesabiwa sawa na wale wenye haki. This is how complete religion really is.!!!
it sound like it is complete unfair for victims just like any a other ordinary court.
ninachoweza kukwambia huu ni mgawanyo wa majukumu mkuu,katika hizi imani:mlianza na mapanga , sasa bunduki, wakati dini yenu inatengeneza makomando wa kulipuka,na kubomoa makanisa, huku wengine wakiwekeza kwenye vita na mauaji, wakiyaita ni sehemu ya zile aina kadhaa za jihadi zenye kumtukuza mwenyezi mungu(allaH)We kawaida yako ni kuandika gazeti reeeeeeeeefu lkn unaruka swali mama!
Mmeulizwa hapo juu! Je! Ugalatia unaruhusu kulawitiana!?
Lkn hakuna hatta mmoja wenu kajibu!
Mnapita huku. Mkaibukia kule!