kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
ninachoweza kukwambia huu ni mgawanyo wa majukumu mkuu,katika hizi imani:mlianza na mapanga , sasa bunduki, wakati dini yenu inatengeneza makomando wa kulipuka,na kubomoa makanisa, huku wengine wakiwekeza kwenye vita na mauaji, wakiyaita ni sehemu ya zile aina kadhaa za jihadi zenye kumtukuza mwenyezi mungu(allaH)
hali ni tofauti kwa wakristo kwani, hawana hata wazo la vita, wanachowaza wakristo ni ku-do the right thing, huku tuna madhehebu na dini za kutosha huku wakiibuka wachungwaji wanaotengeneza pesa mpaka kuwa mabilionea kila kukicha, kwa mgongo wa dini.wakiwemo wale wenye kuzungumza kile jamii inataka kusikia, ili utatue matatizo yao. mahela ndo mpango mzima. ofcoz hata allah alisema tutaendelea kuwa mbele ya dini nyingine kwakuwa tunamtumaini yesu kristo. chezea mwenye nguvu weye.
pia mkuu sijaruka swali mama, bali nilikuwa nachambua sheria ya kujichukulia sheria mikononi badala ya kumwachia mungu mwenyewe aamue. inavyoonyesha mtu asivyo na mategemeo na muumba wake.
We huoni hata aibu kusema mnatengeneza pesa za haramu kwa mgongo wa dini!
Ama kweli wafuasi wa shetani hamna aibu!
Unasema waislamu wanajiandaa kwa vita!
Na nyie!? Mnajiandaa kuwavamia! Na kuiba mali zao!
Halafu mkiwa makwenu Mnapiga hesabu watoto gani wa kiume mkawabake!
Manake ndicho tunachosikia kila leo.
Huu uzi unaongelea KIONGOZI MKUBWA WA KANISA ALIYE LAWITI WATOTO WADOGO!
We unaendelea kusapoti!
Siku ikifika mtoto wako mwenyewe Akibakwa au kunajisiwa na hao Viongozi wako wanaokusamehe madhambi! Ndio akili itakusogea.
Only time will tell! The Cardinals are watching your kids!!