Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
^^
Baba Paroko, kumbe kuna mambo kwenye parokia zenu?
Dada zangu Heaven on Earth na Husninyo watasalimika kweli?
^^
Hii Ndio hofu yangu
Last edited by a moderator:
^^
Baba Paroko, kumbe kuna mambo kwenye parokia zenu?
Dada zangu Heaven on Earth na Husninyo watasalimika kweli?
^^
Hebu tueleweshane; kanisa katoliki ni dini yenye muongozo wa mungu(kitabu/vitabu) au ni kama international organization yenye itikadi fulani yenye lengo la kula raha za dunia iliyojificha kwenye mwamvuli wa dini?; Maana hawa watu dah...!
hmmm! jamani tuseme ukweli.. ukatolikini kuna uozo mwingi sana wa kichini chini!
sasa hiki kibabu kimeona kiseme kikiwa 85yrs old kwa sababu kikifungwa au kisipofungwa equals to zero ya 49.!
ukatolikini nako... mmh!
Kupingana nini Mkuu?
Kama alivyouawa wa Mbagala aliechinja mtoto baada ya kumnajisi.!??
Mkuu adhabu kali dhidi ya watu kama hawa,kama vile kuwanyonga kabisa ili tunusuru watoto wetu la sivyo watoto watamalizwa
Adhabu iwekwe na serikali Au na nani?
Sio iwekwe!
Adhabu imeshawekwa na Mungu!
Kinachotakiwa ni wahusika wa hio imani (ambao ni nyie kuitekeleza) kama sisi tunavyofanya tukiwakamata wabakaji wa namna hii!
Hio ya mbagala unaijua wewe na wale kina mama wa rusha roho!
Haina mashiko wala ushahidi wowote!
Unajua moja ya tatizo la kuzeekea kwenye ukatoliki ni kuwa tabia za uanamme zinageuka na kuwa za kike!
Sasa naona na wewe zimeshaanza kukuandama!
Maneno ya rusha roho yanakugusa kuliko yale ya uhakika!
Huyo kiongozi wako hapo juu kabaka na kunajisi watoto wasio na idadi!
We badala hata ku pretend kuwa unawasikitikia wale victims!
Unajifanya hata huna habari!
Wazee kama nyie mkiachwa peke yenu na wajukuu zenu mnaweza wafanya kitu ya ajabu sana!
If I see that grumpy face of yours in ma neighbourhood! I'll never hesitate to use my shotgun!
Damnnnnn!
Mungu kaiweka wapi?
Swali moja majibu miatano kidogo. Unataka kumsemea ustaadh firauni, jisemee wewe na nafsi yako.Naona kinakuuma hadi unaleta kashfa. Hahahahahahaa...a dini za kuletewa zinavyowatesa. Sijapata skia dini ZETU zikihusishwa na mauchafu kama mliyorithi toka kwa wazungu na waarabu.
For Homosexuality
If a man also lie with mankind, as he lieth with a woman, both of them have committed an abomination: they shall surely be put to death; their blood shall be upon them. ---Leviticus 20:13
And the man that lieth with his father's wife hath uncovered his father's nakedness: both of them shall surely be put to death; their blood shall be upon them. ---Leviticus 20:11
And if a man lie with his daughter in law, both of them shall surely be put to death: they have wrought confusion; their blood shall be upon them. ---Leviticus 20:12
And if a man take a wife and her mother, it is wickedness: they shall be burnt with fire, both he and they; that there be no wickedness among you. ---Leviticus 20:14
Nadhani andiko lako linakusumbua mkuu!
Hata sheria huzijui!
wengine ndo watajifunza na hakutokua na mtiririko wa extra mapenzi kwa watoto,manake hofu itakuwepo.