Babe, I am afraid this was never meant to be...

Babe, I am afraid this was never meant to be...

@SweetieLee,This is a heart of a real woman crying and yearning for the true love that, for some unknown reasons, has now eluded her. She is hurt; and her heart is bleeding.

Listen young lady. You seem to know what you want. My advice to you is this: fight for this love. Let this unique man know about the deep love that you harbour for him. That no one will ever replace him; and that you will always be there waiting for him.

You seem to be in pain. Please go fight for this love !!!
"no one will ever replace him" thats a very white lie bro, in todays world all what needs to happen is for that guy, that man who drives, he has a good job, able to take that sweet girl for holidays, candle lit dinners and so, to get fired from that job, and so no longer to afford even rent at that nice apartment at bweni, loses the car, and so on, and that sweet girl will find a replacement in the next 48 HOURS, you can take that to the bank, and aslo if that man meets a more "hot" chick and the current one will no more get a place in his heart, hope i have driven my point home sir
 
Hahahaha lol sidhani kama hata hizo usernames za nyuma unazifahamu ila mimi naifahamu hii ya kwako mkuu
nimeshindwa kujibu swali lako. nahisi umebadili ID ninayo ifahamu mimi.
 
Ahsante mumie nimepoa!
Miaka 9???? Na kuolewa ulikuwa ushaolewa sindiyo??
Ndio, Mama yangu aliniambia mwanamke anajifunza kupenda. Hivyo nichague mwanaume mwingine kwa kutumia akili( yani awe na vigezo vyangu vingi ninavyo vipenda). Baada ya kuchagua niolewe. Nikafanya hivyo.
Nikaolewa wakati moyoni yupo mwanaume mwingine, harafu nikajifunza kumpenda mme wangu.
Mme wangu akawa ananipenda sana, maana nilikuwa simuhesabii makosa, yani hata akinikosea sioni shida maana nilikuwa namkubali sana ila sio kumpenda.
Miaka ikapita nikawa namsahau x taratibu, ila nikimkumbuka naliaaaa napoa naendelea na maisha.
Nikawa namkumbuka baada ya mwezi! Mara inapita miaezi mitatu ndio namkumbuka, mara miezi nane mpaka nikawa simsikii tena. Nikaanza kumiss mme wangu.
Mme wangu akisafiri naugua, wakata awali mme wangu alikuwa akisafiri nakuwa ido namuwaza x.
Nikaangukia kwenye penzi zito la mme wangu !!!

NB: past inauma lakini unaweza ukaikimbia na ukaenjoy the present.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SweetieLee. This is a heart of a real woman crying and yearning for the true love that, for some unknown reasons, has now eluded her. She is hurt; and her heart is bleeding.

Listen young lady. You seem to know what you want. My advice to you is this: fight for this love. Let this unique man know about the deep love that you harbour for him. That no one will ever replace him; and that you will always be there waiting for him.

You seem to be in pain. Please go fight for this love !!!

Well...as long as he is not a married man
 
Na nimejifunza kitu muhimu sana hapa. Ni muhimu sana kuachana na wapenzi wetu kwa amani na upendo. Huyu braza anayeliliwa hapa bila shaka ni mtu mwema na ana haki ya kujipongeza huko aliko.

Ndiyo. Watu mkishindwa kuelewana mnaachana kwa amani. Na mbegu za wema, upendo wa kweli, urafiki na ubinadamu zikipandwa, zikapaliliwa na kutunzwa vyema daima hutoa matunda mema. Miaka inaweza ikapita lakini matunda yake kamwe huwa hayaozi na kupotea moja kwa moja. Hongera binti kwa kukumbana na njemba hii iliyokuachia makovu ya wema na upendo katika mtima wako mchanga.

Mungu Atauponyesha moyo wako huu unaobubujika asali ya mapenzi matamu ya kweli yaliyoachwa peke yake yakichuruzika na mrina huyu shujaa aliyeamua kwenda kusaka asali kwingine. Jipe muda. Utapona !!!
Ogopa sana mkuu..Ogopa..hata ikipita 10 yrs hawa wawil wakiktana bas mungu tu ndio anajua yote.
Ahahahahah
 
SHIMBA YA BUYENZE,

Hata mkeo huko aliko anamkumbuka x wake kwa wema aliokua anamtendea na wema hauozi kuna siku wema huo utatoa matunda vzr kabisa.
Ahahahahahahh.
Bitter and sour truth..e bwana ee.
Ila let us be positive for our own sake amd our own health.
Msije mkafa kwa heart attack mkiendekeza mitazamo hii.
Ahahahahah

NB
"za kuambiwa,changanya na zako"- JK
 
Ndio, Mama yangu aliniambia mwanamke anajifunza kupenda. Hivyo nichague mwanaume mwingine kwa kutumia akili( yani awe na vigezo vyangu vingi ninavyo vipenda). Baada ya kuchagua niolewe. Nikafanya hivyo.
Nikaolewa wakati moyoni yupo mwanaume mwingine, harafu nikajifunza kumpenda mme wangu.
Mme wangu akawa ananipenda sana, maana nilikuwa simuhesabii makosa, yani hata akinikosea sioni shida maana nilikuwa namkubali sana ila sio kumpenda.
Miaka ikapita nikawa namsahau x taratibu, ila nikimkumbuka naliaaaa napoa naendelea na maisha.
Nikawa namkumbuka baada ya mwezi! Mara inapita miaezi mitatu ndio namkumbuka, mara miezi nane mpaka nikawa simsikii tena. Nikaanza kumiss mme wangu.
Mme wangu akisafiri naugua, wakata awali mme wangu alikuwa akisafiri nakuwa ido namuwaza x.
Nikaangukia kwenye penzi zito la mme wangu !!!

NB: past inauma lakini unaweza ukaikimbia na ukaenjoy the present.

Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh...naoa 2010 naanza kupendwa february 2015 nakufa december 2015.
Not fair kabisaa
Ahahahahajahahahha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom