ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,732
- 1,783
Wewe unataka waue kwa sababu ya nini labda ili wasihesabike kama hayawani.?Bindamu kuua mtu kwa sababu ya mapenzi ni zaidi ya uhayawani. Ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app