Babati, Manyara: Mbaroni akituhumiwa kumuua aliyemfumania akizini na mkewe

Ila bado ana uwezo wa kujitetea maana mke wa mtu saa kumi usiku haupo ndani na mume alimuacha ndani atakuwa ameenda wapi?
Ninavyojua utetezi ni "Crime of passion", hiyo inatokea ukishtukizwa bila kujua. Unarudi zako home, unafungua mlango wa jikoni, ghafla mkeo yuko na houseboy wanakulana juu ya sink; unachukua kisu, unakandimiza kwenye shingo.

Sasa jamaa kama ni kweli aliandaa mtego, ina maana alitengeneza mazingira ya kwenda kufanya violence. Najua ataonewa huruma lakini haya ni mauaji ya kupanga kabisa.
 
Nani sasa hataisibitishia mahakama kuwa aliweka mtego wakumkamata mgoni wake
1631178908284.png


Huyu jirani ni shahidi tosha kabisa.
 
Ila babati ngono nje nje. Kuna dada nilienda k tembelea kwake mchana nashangaa nimefika tu kaingia bafuni kajiosha katoka mtupu. Nilishindwa vumilia rangi imekolea, milk standing, paja nene na kaushuzi kamechomoka. Nikamkula for lunch. Sijui ndo kimasihara.
 
Huyo Michael Jackson naye alizidisha dharau, yaani kumfuata Mke wa Mtu nyumbani lazima alimchukulia jaaa kama Zoba fulani...sasa nadhani amevuna alichokipanda.
 
Ila babati ngono nje nje. Kuna dada nilienda k tembelea kwake mchana nashangaa nimefika tu kaingia bafuni kajiosha katoka mtupu. Nilishindwa vumilia rangi imekolea, milk standing, paja nene na kaushuzi kamechomoka. Nikamkuta for lunch. Sijui ndo kimasihara.
Sasa wewe siyo mtu wa panga, ni sululu!
Ila babati ngono nje nje. Kuna dada nilienda k tembelea kwake mchana nashangaa nimefika tu kaingia bafuni kajiosha katoka mtupu. Nilishindwa vumilia rangi imekolea, milk standing, paja nene na kaushuzi kamechomoka. Nikamkuta for lunch. Sijui ndo kimasihara.
 
Kidogo Sana. Angesikia akamtafuta na kumkata mapanga ingekuwa kesi tofauti, SASA kamkuta mgoni juu ya mkewe panga mkononi ulitaka achukue photoshoot? Wataalamu wanasema hiyo sio murder ni manslaughter.

Marehemu kafumwa anakula mbususu ya mke wa mtuhumiwa pale pale nyumbani kwa mtuhumiwa. High level of 'provocation'.

Wivu wa mapenzi ni nature. Kumfuma mke analiwa pale pale uwanjani kwa mume, systematically kibinadamu lazima mtu apate uncontrollable provocation!

Kisheria, provocation ni miongoni mwa utetezi unaokubalika.

Mauwaji yatokanayo na provocation ya fumanizi la mke wa ndoa, huwa ni mauwaji ya bila kukusudia (manslaughter).

Hapo hakuna murder. Hapo kuna manslaughter.

Adhabu ya Manslaughter: kifungo kuanzia 0 hadi maisha jela. So aweza fungwa miezi mitatu, au mwaka mmoja, n.k n.k It is on court's discretion kutegemeana na mazingira ya kosa husika. Maximum ni life imprisonment.

Murder ni capital offence, with capital punishment. Hadi sasa kwa Sheria zetu za nchi, adhabu ya murder ni moja tu: 'kunyongwa kwa kamba hadi umauti'.

-Kaveli-
 
Vipi kama itabainika kuwa jamaa aliweka mtego na s kwamba alirudi nyumbani kuja kufumania na kuua .hapo bado hana murder case?
Ingekua murder kama jamaa angewakuta wana duu, akakaa chini akalia afu a kaenda tafuta panga ndo akaua. Ila kwa kesi ya jamaa ame act at flagante delicto at the heat of passion/ at aggigated state of mind na kumbuka kulikua na accumulative provocation as MJ alikua anakula mzigo mara kibao na akaonywa but akaendelea.

Mm ningekua judge ningemua acquit aendee freely muda wa trial pending judgment atakao kaa ndani inatosha.
 
Kwa mazingira ya Hiyo kesi bado jamaa anaweza jitetea Maana teyari mkononi alikuwa na silaha na aliwakuta hao wazinzi nyumbani kwake tena muda mchache baada ya yeye kuondoka. Anaeza jitetea labda alisahau kitu nyumbani wakati anarudi kuchukua ndo akawafuma ..japo alikuwa anafahamu mke wake analiwa na uyo dgo.

Na huyo demu ni mjinga ajifunze kuchepuka kwa akili na mkono ndo hivyo hana tena.
 
mazingira usiyotarajia unawafuma kabisa
Mazingira yasiyotarajiwa ni wewe kurudi nyumbani na kufumania mtu... lakini "umeweka mtego", hiyo inaondoa kutokuwa na matarajio. Mkuu ukitega swala, maana yake una matarajio kuwa anaweza kunasa... na umejiandaa na panga kabisa, wewe ulikuwa na dhamira.
 
Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, linamshikilia Samwel Alfred (48), mkazi wa Kijiji cha Magara wilayani hapa kwa tuhuma za kumuua Michael Jackson (25) baada ya kumfumania akizini na mke wake, Habiba Saidi (22).

Mtuhumiwa huyo, inaelezwa kuwa alitekeleza mauaji hayo kwa kumkata kwa panga marehemu aliyemkuta akivunja amri ya sita na mkewe.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi (ACP), Merrison Mwakyoma amesema tukio hilo limetokea saa 10 alfajiri ya leo, Septemba 8.

Kamanda huyo amesema Alfred alimuaga mkewe Habiba saa 10 alfajiri kuwa anakwenda kukata kuni na kumuacha akiwa amelala lakini mkewe huyo akampigia simu hawara yake Michael Jackson aende nyumbani kwake wakafanye mapenzi.

“Baada ya Jackson kufika walizunguka kwenye banda la ng’ombe na kutandika mgorore chini na kuanza kufanya mapenzi ila ghafla mumewe akarudi na kuwafumania,” amesema Kamanda Mwakyoma.

Kwa sababu Alfred alikuwa na panga mkononi, kamanda alisema alilitumia kumkata sehemu mbalimbali za mwili mpaka akafariki dunia. Mkewe ambaye alikuwa anamzuia asiendelee kumjeruhi marehemu naye alikatwa mkono uliodondoka chini.

“Tunaendelea na upelelezi wa tukio hilo na tunatarajia kumfikisha mahakamani Alfred baada ya uchunguzi kukamilika,” amesema kamanda Mwakyoma.

Kamanda Mwakyoma alitoa wito kwa jamii ya eneo hilo kuwa waoga katika kutembea na wake za watu kwani wivu wa mapenzi ni matukio yanayojitokeza mara kwa mara.

“Aliyeuawa ana miaka 25 na mwanamke ana miaka 22 mume aliyefumania ana miaka 48 wananchi wanatakiwa kuacha mapenzi yasiyo na tija kila mmoja achukue tahadhari,” amesema Kamanda Mwakyoma.

Mkazi wa kijiji cha Magara, Ally Ramadhan amesema Jackson ambaye bado ni kijana alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke huyo wa mtu kwa muda mrefu na alionywa mara nyingi.

“Alfred alishapewa taarifa kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na Jackson hivyo siku hiyo aliweka mtego ili aweze kuwafumani na ndivyo alivyofanya na kusababisha mauaji hayo,” amesema Ramadhan.
Unapigaje kifo cha mende kwa mke wa mtu???!! Hatari sana....alitakiwa ainamishe ili iwe rahisi kuona pande zote na rahisi kukimbia mambo yakiharibika!!! Ona sasa kafa kizembeeee
 
Walimuona Zombi kweli
Ukivaa viatu vya huyu Mwamba lazima utamtetea tu.

We fikiria Jamaa anapiga Mkeo, ina maana ukikatiza mahali ameketi na Wenzake anavuta fegi lazima anamgusa Mwenzake "Mcheki jamaa"...hapo ndio labda Jamaa anapita zake na zigo lake la kuni.

Marehemu Michael Jackson ni Mwana kulitafuta Mwana kalipata.
 
Back
Top Bottom