MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,335
- 11,207
Ninavyojua utetezi ni "Crime of passion", hiyo inatokea ukishtukizwa bila kujua. Unarudi zako home, unafungua mlango wa jikoni, ghafla mkeo yuko na houseboy wanakulana juu ya sink; unachukua kisu, unakandimiza kwenye shingo.Ila bado ana uwezo wa kujitetea maana mke wa mtu saa kumi usiku haupo ndani na mume alimuacha ndani atakuwa ameenda wapi?
Sasa jamaa kama ni kweli aliandaa mtego, ina maana alitengeneza mazingira ya kwenda kufanya violence. Najua ataonewa huruma lakini haya ni mauaji ya kupanga kabisa.