AFRIKAN GUY
Senior Member
- Jun 26, 2015
- 102
- 110
Sijaona mtu anaekaribia ukamilifu kama Baba yangu.
Yaani yupo mbele ya muda saaana, Discipline yake ni ya kimungu sana.
Yaani ni kama kajiandaa Kwa Kila kitu, magonjwa, ukame, Kila tukio katika maisha Yake. Kuna vitu anaweza fanya Leo mkasema Sasa hio for what. Mtaelewa Miaka mitatu minne mbele. Au mnaweza msielewe kabisa.
Ana subra usiseme: watu wengi hua tuna struggle kua na subra wakati tunasubiri jambo Fulani, na hua inasababishwa kua bored, yaani kukosa cha kufanya wakati tunasubiri jambo Fulani.
Lkn mzee wangu hana hio.
Uwezo wa kuplan vitu vya Miaka ya mbele hatakama anajua anaweza asiwepo. Lkn akawa na passion as if atakuwepo. Nikisema Miaka ya mbele naamaanisha mbele mbele kuleee.
Anapenda kusema wanangu maisha ni magumu sana, Kesho yetu ni mbaya sana. Na anamaanisha.
Nimegindua ana purpose kubwa kuliko yeye mwenyewe. Na anaitumikia since day one.
I call him Magufuli
Yaani yupo mbele ya muda saaana, Discipline yake ni ya kimungu sana.
Yaani ni kama kajiandaa Kwa Kila kitu, magonjwa, ukame, Kila tukio katika maisha Yake. Kuna vitu anaweza fanya Leo mkasema Sasa hio for what. Mtaelewa Miaka mitatu minne mbele. Au mnaweza msielewe kabisa.
Ana subra usiseme: watu wengi hua tuna struggle kua na subra wakati tunasubiri jambo Fulani, na hua inasababishwa kua bored, yaani kukosa cha kufanya wakati tunasubiri jambo Fulani.
Lkn mzee wangu hana hio.
Uwezo wa kuplan vitu vya Miaka ya mbele hatakama anajua anaweza asiwepo. Lkn akawa na passion as if atakuwepo. Nikisema Miaka ya mbele naamaanisha mbele mbele kuleee.
Anapenda kusema wanangu maisha ni magumu sana, Kesho yetu ni mbaya sana. Na anamaanisha.
Nimegindua ana purpose kubwa kuliko yeye mwenyewe. Na anaitumikia since day one.
I call him Magufuli