- Na wasi wasi na mama yenu maanake yeye ndo anakaa nae naanajua siri zake zote:rolleyez:
Kazi ipo mapwa zangu, tumuombeni mungu atuepushe na dhahma zake, mabaya yamueendee mwenyewe mazuri yaje kwa wana.
Sasa hao washkaji zake itakuwaje si ndio kule kule tu watatumaliza hawa tukiwachekea lol,
mi hiyo oct sikubali kupoteza haki yangu kwa mtu asiye rasmi.
the one who laugh last is the slowest thinkerhahahahaaaa!get you, get you, geeeeet you!i see lol.
- Na wasi wasi na mama yenu maanake yeye ndo anakaa nae naanajua siri zake zote:rolleyez:
pamoja na tabia zake hizo lakini wanafamilia wengi bado wanampenda sana baba, wanasema matatizo yaliyopo nyumbani yanasababishwa na uchoyo wa akina kaka na kuwa tuvute subira kwani baba atawadhibiti hivi punde.