Baba yangu huwa ananibaka



Huyu binti anahitaji msaada wa haraka katika maisha yake, hata tukiacha na ya topic ya leo.
 
Huyo n baba yk mzazi au n wa kufikiaa maana daaaa..polee cha msingi mwambiee mama tuu maana unakoelekeaa nikupewa mimbaa tu na huyo mzee wakoo ..poleee aisee ndugu
 
Usicheze na baba huyo ni mwakilishi wa Mungu duniani...kama uasingizia utaaibika. Kama kweli basi mwambie mama akupeleke polisi sheria ichukue mkondo.
 
Inawezekana mama yako alimsaliti baba yako akakuzaa ww na sasa huyo baba ndio analipiza kisas kwa kukugegeda maana si mtoto wake
 
Ooohh my God.... Pole sana sana. Ila kukaa kimya utajiharibia mwenyewe unaweza kupata mimba, na magonjwa. Huna haja ya kumuogopa uyu sio baba mwenye sifa kabisa... Ongea na mama ajue yote vinginevyo utaaribu malengo yako, h
 
hujaanza kunogewa tu wewe??
 
mmh kama ni kweli ni hatari sana, hutakiwi kunyamaza, lazima mama yako ajue, na mama yako ana makosa ya kuweka ukuta mkubwa sana kati yake na wewe in such a way unamuogopa kiasi hicho, alitakiwa kuwa kama rafiki kwako
 
Mwambie mama haraka sana dadangu tena fanya haraka kabla sijachukia huu ndio uamuzi sahihi imenisikitisha sana upo wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…