King Mbappe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2018
- 1,195
- 2,047
Mwanzo 2:24
Kwa hiyo Mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.
Ni kosa kukaa kwa baba yako na mkeo.
Lazima mmoja atamdharau mwenzake.
Wahindi wanakaa ukoo mzima sehemu moja na bado kkoo wanatukimbiza kibiashara.