Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,781
- 20,946
Kwa nini ulioa bila kuwa na kipato na maandalizi ya awali kama kupanga chumba chako japo kimoja tu? Halafu ukiwa na lastborn-syndrome hutakaa uendeleeNASHUKURU SANA..........ILA UGUMU WA MAISHA NDUGU.........HAPA NATAFUTA KAZI SIKAI NIKAMALIZQ SIKU NYUMBN............ALAF NIONGEZEE TU......MIMI NI MTOTO WA MWISHO......SAMAHAN KUSEMA HVO.............NATAKA NIJUE TU NI SAHII KUITWA HVO AU LA