Baba yangu anamuita mke wangu “wewe”; inaleta mtafaruku

Seems ni wale madingi wakoloni,

All in all, Dingi yuko sawa, maana hamfaham huyo mwanamke officially?
So fanya mpango ukae na huyo mwanamle officially ili dingi ampe heshina yake anayostahili, kama si hivo hamtambua na atamuita vile ajisikiavo maana ana haki hiyo.
 
NASHUKURU SANA..........ILA UGUMU WA MAISHA NDUGU.........HAPA NATAFUTA KAZI SIKAI NIKAMALIZQ SIKU NYUMBN............ALAF NIONGEZEE TU......MIMI NI MTOTO WA MWISHO......SAMAHAN KUSEMA HVO.............NATAKA NIJUE TU NI SAHII KUITWA HVO AU LA
Kwa Nini ulioa wakati huna uwezo wa kuitunza familia?
Au ndio unasikilizia mchongo wa kurithi mzee akifa?
 
NASHUKURU SANA..........ILA UGUMU WA MAISHA NDUGU.........HAPA NATAFUTA KAZI SIKAI NIKAMALIZQ SIKU NYUMBN............ALAF NIONGEZEE TU......MIMI NI MTOTO WA MWISHO......SAMAHAN KUSEMA HVO.............NATAKA NIJUE TU NI SAHII KUITWA HVO AU LA
Mdogoangu kaolewa na mtoto wa mwisho,shemeji yangu ndio tegemezi kwao wapo watoto 6,sasa wewe

Unadeka

Inamaana amjajaaliwa kupata mtoto labda angetumia kumuita mama fulani??
 
Mke wangu tunaishi nae nyumbani lakini bado sijafunga naye ndoa.

Nimekaaa nae yapata miaka 6 sasa. Niko naishi pia na baba yangu nyumba moja.

Mke wangu analalamika kwanini baba yangu anamuita wewe badala ya jina lake.

Je, ni sahihi baba yangu kumwita mkewangu "Wewe"?

Naombeni mawazo yenu niweze kutatua hili jambo
Toka hapo nyumbani kwenu upesi sana, nenda kapange hata chumba cha 5,000 uishi wewe na mkeo tu.
Unambana mzee hapo, anashindwa hata kuingiza mademu awagonge hapo a-enjoy uzee wake na maisha yake yaliyobaki hapa duniani. Achwa UZWAZWA.
TOKA HAPO KWENU UPESI SANA...!! Hilo ndo suluhisho la kudumu.
 
Nikuambie tu,kama ni muslim baba yako hawezi muita huyo mkeo eti mkwe,kwasababu haujafunga nae ndoa anaona kama umemdharau kumletea kimada kwa nyumba yake

Nawaza hivyo
 
Kuwa mtoto wa mwisho ndo nini mkuu? Acha utoto mzee toka apo om hakuna ushauri zaidi ya wewe kusepa na hutosikia tena izo kauli na siku mzee atamtongoza mkeo unamuaminije mwanaume kwenye suala la mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
Au ndio kaamua kujirithisha nyumba kabisa maana kuna koo ambazo mtoto wa kiume wa mwisho ndio anarithi nyumba
 
Mke wangu tunaishi nae nyumbani lakini bado sijafunga naye ndoa.

Nimekaaa nae yapata miaka 6 sasa. Niko naishi pia na baba yangu nyumba moja.

Mke wangu analalamika kwanini baba yangu anamuita wewe badala ya jina lake.

Je, ni sahihi baba yangu kumwita mkewangu "Wewe"?

Naombeni mawazo yenu niweze kutatua hili jambo
Si sahihi kama imekuwa ni utaratibu wake.

Kuna suala la utamaduni hapa lakini--msikurupuke na huyo mwenzako. Ukumbuke wengi wetu Kiswahili ni lugha ya pili, na lugha si kuumba sentensi pekee bali inahusisha utamaduni na miiko yake. Yani mzungumzaji afahamu anazungumza nini, na nani, wakati gani, mahali gani, na kivipi kulingana na kanuni za lugha husika.

Je, unadhani huyo mzee anafanya makusudi, ama ni kutofahamu Kiswahili na tamaduni zake? Ukute mpaka umrudishe na kumtafsiria kwenye lugha yake ya asili ndipo atajua anavyokosea. Ni sawa na mtu anapojifunza lugha ngeni, kuna wakati anaudhi na kutukana lakini hajijui. Umeona wazungu au Wahindi, kwa mfano, kabla hawajawa mahiri kwenye Kiswahili? Utasikia Wewe fulani, kuja hapa, Kwenda kule n.k. Sasa Kwa Mswahili thabiti, katika mazingira ya kawaida, haya ni makosa. Lakini, mzungumzaji hajui, anatiririka tu.

Kazi kwako kujua kama baba anafanya makusudi ama udhaifu wa lugha. Ikibidi apewe shule
 
JAMAN ACHENI MASIHALA JMN
HII KITU NAISHI YAO KABISA
kunawenggine naona wako serios coz wana jibu ninachokiwaza mimi
NAOMBEN JAMN SIJAMLAZIMISHA MTU KUNISHAURI
 
Back
Top Bottom