Baba yangu amenishangaza sana

Baba yangu amenishangaza sana

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,400
Leo saa 2asubuhi nilipokea sms kutoka kijijini ushiri rombo mkoani Kilimanjaro na ilitoka kwa baba yangu iliandikwa hivi mwanangu nina shida na 50000 naomba unisaidie nina shida nayo ya dharura halafu akaniwekea angalizo 2015 october chagua ukawa na lowasa nimeshangaza sana kwa kua aliwahi kua balozi wa nyumba kumi kupitia ccm hiyo ndio ilikua sms yake kwanza nilipoona anataka hela nilipanga kumzungusha mpaka jumatano ijayo ila aliposema chagua ukawa na lowasa nilimpigia simu kwa kua nilifikiri kakosea kuandika ila nitamtumia mapema sasa
 
baba mkwe hajakuomba mtumie 30,000 halafu muulize anaonaje fukuto la uchaguziziiiii
 
Aetimiza jukumu lake kama mzazi kukupa wosia.Naomba umpe
thumbs up!
 
Leo saa 2asubuhi nilipokea sms kutoka kijijini ushiri rombo mkoani Kilimanjaro na ilitoka kwa baba yangu iliandikwa hivi mwanangu nina shida na 50000 naomba unisaidie nina shida nayo ya dharura halafu akaniwekea angalizo 2015 october chagua ukawa na lowasa nimeshangaza sana kwa kua aliwahi kua balozi wa nyumba kumi kupitia ccm hiyo ndio ilikua sms yake kwanza nilipoona anataka hela nilipanga kumzungusha mpaka jumatano ijayo ila aliposema chagua ukawa na lowasa nilimpigia simu kwa kua nilifikiri kakosea kuandika ila nitamtumia mapema sasa

Mkuu......huyu Baba (YETU) ana maono...!
 
Kilimanjaro kuchagua UKAWA ni la kushangaza?
Lowassa anaungwa mkono asilimia 80 kwa mikoa Manyara,Kilimanjaro na Arusha...

Angekuwa baba yako yuko Sumbawanga au Geita hapo ningeshangaa
Sisi huku Geita hatumtaki kabisa MAGUFURI mchukueni awe rais wenu huko huku hata wilaya yake nzima mitaa yote na vijiji vyoteni CHADEMA kasoro viwili tu ndo vya CCM hata mkuu wake wa mtaa ni CHADEMA na aliyekuwa diwani wake ni CHADEMA.
 
Mzee wangu toka 1995 aliachana rasmi na maCCM, anakadi ya CCM za mwanzoni kabisa ila hataki hata kuwasikia hawa CCM
Sijui mtaponea wapi Magamba.
 
Leo saa 2asubuhi nilipokea sms kutoka kijijini ushiri rombo mkoani Kilimanjaro na ilitoka kwa baba yangu iliandikwa hivi mwanangu nina shida na 50000 naomba unisaidie nina shida nayo ya dharura halafu akaniwekea angalizo 2015 october chagua ukawa na lowasa nimeshangaza sana kwa kua aliwahi kua balozi wa nyumba kumi kupitia ccm hiyo ndio ilikua sms yake kwanza nilipoona anataka hela nilipanga kumzungusha mpaka jumatano ijayo ila aliposema chagua ukawa na lowasa nilimpigia simu kwa kua nilifikiri kakosea kuandika ila nitamtumia mapema sasa

Mtumie haraka mwaka huu pa gumu hadi wazeee wamechoka mambo yao... Ss wanatumia wasaniii kuturudisha haturudi ng'oooo
 
Huyo baba mtumie hela haraka maana ana maono mkuu.:thumbup::thumbup::thumbup:😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom