Mchapakazi sana
Member
- May 30, 2015
- 31
- 3
Toka enz hzo ccm ndo chama tawala chadema/ukawa hakiwezi kuendesha nchi watanzania tusidanganyike na kufata mkumbo.
Kilimanjaro kuchagua UKAWA ni la kushangaza?
Lowassa anaungwa mkono asilimia 80 kwa mikoa Manyara,Kilimanjaro na Arusha...
Angekuwa baba yako yuko Sumbawanga au Geita hapo ningeshangaa
ha haaha hilo swal tataMbele na nyuma kama magufuli?
nipo njiani narudi aiseeeNa wewe, embu rudi nyumbani mapema uje unieleze. Yaani umetoka hapa harakaharaka kwenda kumshabikia mamvi! Njoo haraka!
Khaa!! Kama kusema ukweli ndiyo kuniona mngese bora niwe tu kwani hakuna namna nyingineWewe roho mbaya hasa kama sura yako,kila mara unatukana UKOMBOZI,naona wewe ni mgense.
Toa sura ya gongo hapaIweke hapa namba yake ya simu,mimi nimpe hela. Najua Lowassa atanilipa.
Khaa!! Tena kali sana. Njaa ya ukweli na si maneno ya kitapelikwani unanjaaa?
basi tafuta pesa ilipoKhaa!! Tena kali sana. Njaa ya ukweli na si maneno ya kitapeli![]()
Khaa!! Kumbe tunafuata pesa tu? Nani anasimamia hiyo show tujiunge??basi tafuta pesa ilipo
nitafuteKhaa!! Kumbe tunafuata pesa tu? Nani anasimamia hiyo show tujiunge??![]()