Baba yake Joyce Kiria afariki dunia

Baba yake Joyce Kiria afariki dunia

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803
JUL102013





BABA MZAZI WA JOYCE KIRIA .. Michael Francis Iwambo Kiria wa kibosho dakau nganyeni amefariki huko mkoani Tanga ambako alikuwa akiishi. Kesho ni safari ya kuelekea moshi kwa ajili ya taratibu za mazishi.
 
pole sn joyce kwa kufiwa na baba yako! hiyo ni kazi ya Mungu. umo ktk mtihani mkubwa kufiwa na mzazi huku mumeo akiwa rumande. kaza moyo! ni mitihani ambayo huwakuta binadamu, wewe ukiwa mmoja wao
 
MUNGU ampe nguvu dada yetu aweze kuhimili mikiki mikiki hii inayomkumba vile vile Mungu ampe pumziko la milele Baba yetu mzee Kiria,Amen
 
Shetani......

awaandalie makazi YA MOTO WA MILELE... huko Jehanam WOTE wasioitakia Mema CHADEMA.........

wote tuseme AMINA....
 
Pole sana Joyce, Mungu akupe nguvu wakati hii mgumu kwako na family yako yote. RIP baba yetu!
 
Dah inasikitisha sana.. Kaza moyo dada haya ni mapito tu muombe mungu ipo siku utatulia na maisha yatasonga.. R.I.P mzee kiria.
 
dah inahitaji moyo
machungu ya kufiwa n mzazi na ya mume kuwa rumande wakati mmoja.
jipe moyo
 
Ni majaribu ya duniani, Kaza moyo dada yetu na Mungu awape nguvu katika wakati huu Mungu.
Roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu na Apumzike kwa Amani. Amina
 
MUNGU ampe nguvu dada yetu mpiganaji aweze kuhimili mikiki mikiki hii inayomkumba pia Mungu ampe pumziko la milele Baba yetu mzee Kiria,Amen. Unapokaribia kupambazuka majaribu huongezeka na ukishinda hapo kumekucha; be strong mafisadi wasije wakapenyeza rupia zao wapuuzi sana waalaaniwe​


 
pole sana dada ila tambua mungu hajakuacha ukiona machungu yanazidi jua neema imekaribia na dhahabu hupitishwa kwenye moto ili ingae zaidi
ucjal haya yote yatapita na utaucmulia ukuu wa Mungu
 
dah pole sana Joyce ni majaribu ya dunia ipo siku kila kitu kitakuwa sawa,pole pole sana Joyce.
 
Nilipata kusikia Waswahili wakisema Hakuna Msiba Usiokuwa na Mwenzie! Sijahakikisha kuwa hili ndilo linalompata dada yetu Joyce, lakini linaendana.
Kaza roho Joyce na jiandae kwa lolote! Nawakumbuka wanao siku ile wakisema "baba yetu yuko? inasikitisha"
Pumzika kwa amani mzee Kiria.
 
Mungu amsamehe baba yetu zambi zake zote, na kama zilikuwepo ziende kwa mwigulu mwana kulaaniwa huyu.
 
Back
Top Bottom