halafu kwa nini alikuwa akiweka moustache kama wa hitler?
Huo mpango ulikuwa na mambo gani muhimu?View attachment 1050410
Katika hotuba hii alielezea mpango wa Taifa wa maendeleo wa miaka mitano. 1964-1969.
Alright, it's OK!Elimu kwa wote ndiyo ilizaa Elimu ya Watu wazima na walimu wa UPE
Afya kwa wote unakumbuka afya ilikuwa bure bila hata BIMA
Enzi hizo alikuwa anapendeza mana Suti yake kabla hajaenda China na kukutana Na Mi Komunist iliyombadilisha kuanzia kifikra mpaka kimavazi
niulize hivi elimu ya watu wazima ngumbaru bado ipo?Elimu kwa wote ndiyo ilizaa Elimu ya Watu wazima na walimu wa UPE
Afya kwa wote unakumbuka afya ilikuwa bure bila hata BIMA
niulize hivi elimu ya watu wazima ngumbaru bado ipo?